Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 285
- 192
Hii halitokani na kunyoa ni tatizo linalotokana na tissue damage, ni vile cell zinashindwa kufuata mfumo wake wa awali na hutokea maeneo ya mikunjo wa ngozi zaidi. Pia hutokea kwa watu wenye uzito mkubwa zaidi hihi ni kwa 65%.
Najitahidi nije na solution soon.
Najitahidi nije na solution soon.