Tatizo la vipaumbele:Tuna Tanzania Disaster Management Act ya mwaka 2015; lakini je, Tanzania Disaster Management Agency imewahi kuanzishwa?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Tunatakiwa kuwa na Tanzania Disaster Management Agency (TDMA) ambayo inatakiwa kuanzishwa kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na Bunge tarehe 26/03/2015, sheria inayojulikana kama Disaster Management Act.

Swali ni je, Taasisi hii ambayo ingekuwa na jukumu la kushughulikia majanga mbalimbali hapa nchini, imewahi kuanzishwa au kwa maneno mengine ipo?

Kama ipo, Director General wa hii taasisi ni nani?

Kama haipo, tatizo ni nini?

Kupanga ni kuchagua; yanayoendelea tumeyachagua.

Act husika hii hapa chini:

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjALegQIAhAB&usg=AOvVaw0QixRYdwpNG_zCiuOQuXoD
 
Nimekumbuka juzi kati hapo inasemekana waziri wa mambo ya ndani aliwatoa kikaoni maafisa wa "Zimamoto" walioshindwa kutaja jina la idara/jeshi lao kwa ukamilifu......"Jeshi la Zimamoto na Uokoaji"! Nadhani waziri alikuwa na hoja ya msingi sana.

Wamekalia kusumbua wafanya biashara kuhusu "fayatingisha" tu.....wanasahau wajibu wao wa uokoaji!
 
Disaster Management is not a National priority, several major incidents occurred and could have been an alarm for our preparedness. Few to mention though no accuracy on dates/year MV Bukoba 1990's, Mv xx Zanzibar (two major events in 2016-2017?), otherwise tungekuwa na vitu kama hivi:
1. Management Rescue Team and trained
2. Rescue Team active 24/7
3. Well organised Rescue Equipment
4. Rescue equipment be available and well serviced / checked for readiness 24/7
5. Planned emergency drills as a part of training and efficiency checks

Tuko bize kununua watu… na popularity … These are main agenda/ top priorities as a nation.
 
Disaster Management is not a National priority, several major incidents occurred and could have been an alarm for our preparedness. Few to mention though no accuracy on dates/year MV Bukoba 1990's, Mv xx Zanzibar (two major events in 2016-2017?), otherwise tungekuwa na vitu kama hivi:
1. Management Rescue Team and trained
2. Rescue Team active 24/7
3. Well organised Rescue Equipment
4. Rescue equipment be available and well serviced / checked for readiness 24/7
5. Planned emergency drills as a part of training and efficiency checks

Tuko bize kununua watu… na popularity … These are main agenda/ top priorities as a nation.
Ukweli ni kwamba hata Raisi mwenyewe anatakiwa kuwajibika (kujiuzulu) kwa kushindwa kuanzisha taasisi hii yeye akiwa ndio kiongozi mkuu.
 
Back
Top Bottom