Tatizo la vijana wengi sana hili

sista amehakikisha lakini kama waya ziko vizuri:D:D:D:D:D
maisha yamebadilika zamani wanaume waliwaandaa wanawake siku hizi imekua kinyume chake

Hahahaha yaani kama gari la kusukuma raia wanakwambia bwana hii mara ya mwisho ikikataa tena park tu...!

Hatarious.
 
Haya mambo yanachanganya Sana ....unakuta kwa mkeo ngoma inagoma lakin kwa mchepuko huko aisee had anaomba poo.
 
tatizo linazidi kila uchwao,,,,lakini chanzo kikubwa ni msongo wa mawazo na vurugu za maisha wanapitia vijana wa leo.....kuna haja ya kufanya utafiti na kuufanyia kazi ili kuokoa kizazi na kujenga jamii yenye furaha.
Stress inaweza kuwa sababu kuu ya hili tatizo
 
Aisee kuna wengine wapo vizuri tu hawana maisha ya hovyo yanayofanya wawe na msongo wa mawazo wala nini lakini kitandani hovyo kabisa.

Na mbaya zaidi mademu zao wakikutana na tunaojua kusugua mpaka kunatoka moshi wanatoa siri zao arif...!
Kumbe huwa unaamini maneno ya wanawake ?
 
Achana na hiyo kitu kabisa, ilishawai nitokea nilikuwa napiga mama flani mtu wa rukwa, tulikuwa ni jirani. Siku moja galfrind wangu alikuja geto na kunikuta nimekaa nje ya nyumba nikawa nimekaa nae. Iliingia msg tuu kwenye simu yangu kuwa "umeamua kunioneshea" baada ya hapo ilikuwa ni kazi kila demu akija ngoma inagoma kuinuka, nikienda kwa bi mkubwa na mechi za ugenini nyingine napiga show ya kiwango cha UEFA. Sema baadae bi mkubwa nikampigia na mwanae alikuwa anasoma chuo. Baadae niliachana na yule mama na maisha yakaendelea, now nina watoto wanne napiga show kwa wife vizuri kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hiyo kitu kabisa, ilishawai nitokea nilikuwa napiga mama flani mtu wa rukwa, tulikuwa ni jirani. Siku moja galfrind wangu alikuja geto na kunikuta nimekaa nje ya nyumba nikawa nimekaa nae. Iliingia msg tuu kwenye simu yangu kuwa "umeamua kunioneshea" baada ya hapo ilikuwa ni kazi kila demu akija ngoma inagoma kuinuka, nikienda kwa bi mkubwa na mechi za ugenini nyingine napiga show ya kiwango cha UEFA. Sema baadae bi mkubwa nikampigia na mwanae alikuwa anasoma chuo. Baadae niliachana na yule mama na maisha yakaendelea, now nina watoto wanne napiga show kwa wife vizuri kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii kitu mashine kulala mbona ipo Kwa wengi tu aidha kwa kujua tatizo ni kitu gani au bila ya hata kujua tatizo ila kuna watu humu wanajifanya hawajui kuwa eti kuna hili tatizo aisee.
 
Hakuna "ugonjwa" wa nguvu za kiume!

Hizi ni illusion na maruweruwe tu ya watu! Tatizo linaanzia kichwani.

Madhali hiyo mboo inasimama na kukojoa, basi inatosha.

Lengo kuu la ngono ni kuzaa na kuzalisha na si vinginevyo.

Shida kubwa vijana wamelimbuka na uzinzi kiasi kwamba wako frustrated mpaka mboo zinagoma kusimama!

Relax. Life is too short.

Kutwa kuwaza ngono asubuhi na jioni!
 
Hakuna "ugonjwa" wa nguvu za kiume!

Hizi ni illusion na maruweruwe tu ya watu! Tatizo linaanzia kichwani.

Madhali hiyo mboo inasimama na kukojoa, basi inatosha.

Lengo kuu la ngono ni kuzaa na kuzalisha na si vinginevyo.

Shida kubwa vijana wamelimbuka na uzinzi kiasi kwamba wako frustrated mpaka mboo zinagoma kusimama!

Relax. Life is too short.

Kutwa kuwaza ngono asubuhi na jioni!

Hahahaha watu wanataka kuchakata kipochi manyoya mpaka kitoke moshi aisee...!

😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom