kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,733
Mimi naelewa kwamba Chanjo ni hiari ya mtu. Namnagani kwenye vyombo vya usafiri? Kwa hiyo kuvaa Barakoa pia ni hiari ya mtu? Hapo juu nimeona Mkoa wa Mbeya ni kati ya mikoa athirika.
Niko Mbeya naelekea Kyela, sijaona mtu kavaa barakoa!
Niko Mbeya naelekea Kyela, sijaona mtu kavaa barakoa!