#COVID19 Tatizo la UVIKO-19: Mwaka huu Moshi kutaendeka kweli?

Mimi naelewa kwamba Chanjo ni hiari ya mtu. Namnagani kwenye vyombo vya usafiri? Kwa hiyo kuvaa Barakoa pia ni hiari ya mtu? Hapo juu nimeona Mkoa wa Mbeya ni kati ya mikoa athirika.
Niko Mbeya naelekea Kyela, sijaona mtu kavaa barakoa!
 
Hali mbaya iliyopo sasa labda ipungue vinginevyo ni kujitoa ufahamu kwenda kula Xmas na kusababisha misongamano chungu nzima na hivyo kuongeza idadi ya maambukizi na vifo.
Dah! Taarifa za msiba zimekuwa nyingi sana. Kwanza naamini Watanzania wanakufa sababu ya uzembe na kujitakia wenyewe. Mtu anakufa kwa nimonia watu mnajazana msibani kwenda kuzika bila tahadhari yoyote unategemea nini hapo? Umeenda kuzika mara 3 je Disemba utaenda tena.

Mkoa wa Kilimanjaro wilaya zinazoongoza kwa misiba mpaka sasa
Rombo
Moshi (v)
Hai
Sina watu wa kunijuzi kuhusu wilaya nyingine
Nina marafiki kadha wengi sana wameshasafiri kwa ajili ya msiba wengine wamsafiri zaidi ya mara 3( kulingana na hali yake kiuchumi) safari zote kwenda kuzika.

Kulingana na marafiki walionizunguka mikoa hii inaongoza kwa vifo

1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Mbeya
4. Dar es Salaam

Je, kwa mujibu wa marafiki, ndugu na jamaa zako ni mikoa mingapi unapata ripoti nyingi za misiba?

Tuchukue tahadhari, tuache mzaha
 
Bwana weee watu wanakaa wanaongeza
Chumvi Kama ya kitenge

Inamaana serikali haion hili
C wangeshatoa maamuz
Kwanini sasa hivi kuna umuhimu wa chanjo,kwani serikali haikuona wakati wa JPM? Umeuliza swali la kijinga sana utadhani umenunua simu jana
 
Hali mbaya iliyopo sasa labda ipungue vinginevyo ni kujitoa ufahamu kwenda kula Xmas na kusababisha misongamano chungu nzima na hivyo kuongeza idadi ya maambukizi na vifo.
Serikali ikataze kabisa sababu wengine kama wamelogwa,wataenda tu na kukaa na bibi zao ili hali ilivyo mbaya
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hopefully 🙏🏾 kutakuwa na ahueni kubwa ili kuwawezesha wachagga waende kuhiji kwao na kujirusha kwa sana mbege, muziki wa Jim Reeves 😜kisusio, Nyama ya mbusi na mivinyo ya kila aina bila kusahau mbususu na migegedo ya migombani 😂😂😂
Serikali ikataze kabisa sababu wengine kama wamelogwa,wataenda tu na kukaa na bibi zao ili hali ilivyo mbaya
 
Shida pia ipo kwenye usafiri wa umma. Msiba umetokea watu wanachangana kwenda na coster wakifika wanazika wanarudi na coster wakifika Dar wanapanda daladala tena hakuna cha level siti wanawaachia wangapi? Ndio mana huku tuendako ni kugumu zaidi
Kilimanjaro ipigwe lock-down...wakazi wa huko wasitoke wala kuingia
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom