enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,062
- 3,584
Wasalaam bandungu
Kichwa cha habari chajieleza.Nina rafiki yangu ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa mwanachama wa CHAPUTA(chama cha punyeto Tanzania)
kutokana ufuasi wake uliotukuka kwenye hicho chama kumempelekea uume wake kushindwa kusimama imara(kulegea) hata ukisimama mda mfupi tu unalala, na tatizo kubwa linakuja pale anapokuwa anagegeda:
kwanza anawahi kumaliza,
pili inamchukua mda mrefu kurudia round ya pill.
Kwa hiyo bandugu naombeni tushirikiane kumshauri huyu ndugu yetu njia anazoweza kutumia(ziwe natural au kama kuna tiba mbadala ila sio vumbi la Katanga) ili aweze kurejea kwenye hali yake ya kawaida.
Natanguliza shukrani
Nb:punyeto ni hatari kwa urijali wako do it responsibly.
Kichwa cha habari chajieleza.Nina rafiki yangu ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa mwanachama wa CHAPUTA(chama cha punyeto Tanzania)
kutokana ufuasi wake uliotukuka kwenye hicho chama kumempelekea uume wake kushindwa kusimama imara(kulegea) hata ukisimama mda mfupi tu unalala, na tatizo kubwa linakuja pale anapokuwa anagegeda:
kwanza anawahi kumaliza,
pili inamchukua mda mrefu kurudia round ya pill.
Kwa hiyo bandugu naombeni tushirikiane kumshauri huyu ndugu yetu njia anazoweza kutumia(ziwe natural au kama kuna tiba mbadala ila sio vumbi la Katanga) ili aweze kurejea kwenye hali yake ya kawaida.
Natanguliza shukrani
Nb:punyeto ni hatari kwa urijali wako do it responsibly.