falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
- Thread starter
- #21
tangu last week bar za kuanzia kiboriloni hadi kibosho road zimejaa watejaSi mlisema mwaka huu wachaga hawaendi kwao, vipi tena???
tangu last week bar za kuanzia kiboriloni hadi kibosho road zimejaa watejaSi mlisema mwaka huu wachaga hawaendi kwao, vipi tena???
Oshaaa omba kyasakaKe ngiendie mshare cho mikungu iwi bana. Oweny ngisokavo.
Halafu wewe ulituahidi gari za kenya zitaanza kupitia Marangu , Rombo zipo wapi sasa.utapishana na coaster zangu za tours leo imebidi zifungwe carrier
Inaniumaje wakati sina biashara hiyo?imekuuma sana eeh
Bila kusahau nakumat watu wanapishana .tangu last week bar za kuanzia kiboriloni hadi kibosho road zimejaa wateja
nilikuahidi au nilipokea maombi yakoHalafu wewe ulituahidi gari za kenya zitaanza kupitia Marangu , Rombo zipo wapi sasa.
Ruwa ko Mangi.......Kyasaka kya kuwi se bana!?Oshaaa omba kyasaka
Hukuyafanyia kazi wewe ni jipu .nilikuahidi au nilipokea maombi yako
Nukyeweso ichumia awuyo hao walioenda kupumzisha akili na mwili wakija hapa utashangaa mapene yanaongezeka lakini wale wanaojifanya kubana mjini utawaona wapo pale pale tunawakimbiza kwa mbaaali.Ruwa ko Mangi.......Kyasaka kya kuwi se bana!?
Si mchezo kaskazini ni kaskazini tu ni tofauti na kanda ya tui la nazi.Si mlisema mwaka huu wachaga hawaendi kwao, vipi tena???
MPaka KIA ni Sh'ngapi?BOMBADIER ZIMESHUKA KUTATUA HII KADHAA LAKINI KWANINI NYINYI WATU BADO MNAENDA UBUNGO?
Si mchezo kaskazini ni kaskazini tu ni tofauti na kanda ya tui la nazi.
Inamuuma sana aisee.
Safari ya kwenda likizo ya christmas ni ya dharura?hali halis ilivyo kwa hivi sasa ubungo ni mateso kwa abiria na haswa watoto wadogo. hii inasababishwa na agizo la sumatra kukataza gari zote zisizo na sticker ya sumatra inayouzwa laki tano zisipakie abiria haswa kwa kipindi hiki cha dharura. huku zoezi hili zima likishikiwa kidedea na kamanda awaz. matokeo yake zilizoingia ndani ni zile chache zenye sticker huku hazikidhi masharti ya safari ndefu kama kuwa na ac tv mikanda. badala yake zimezuka stand bubu za kumwaga huku abiria wakitoa ushirikiano kwa madereva na makondakta wanaopakia kinyemela. naishauri sumatra na kamanda awaz wafikirie mara mbili katazo lao. pia wale wote wanaotaka kwenda moshi arusha nairobi kwa kesho mnione inbox .jana j
usiku nilipokuwa natoka moshi kuja dar nimekutana na maelfu ya gari zilizopakia kinyemela. sumatra ibuni vyanzo vipya vya mapato
nimeyafanyia kazi na soon utafurahi, pia moshi mwanza dar mwanza dar mbeyaHukuyafanyia kazi wewe ni jipu .
Aminia kakaakenimeyafanyia kazi na soon utafurahi, pia moshi mwanza dar mwanza dar mbeya
hilo halina ubishiKwa kweli ni mafuriko pande zote za nchi watu wanamiminika kama siafu ama kwa hakika tumesimamisha uchumi wa mikoani kwa muda mpaka tumalize yetu.