Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,035
- 947
Usihangaike cha maana je unaweza tungisha mimba kwa mkeoNawahi fika mshindo ndani ya sekunde
Siwezi rudia rounds
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usihangaike cha maana je unaweza tungisha mimba kwa mkeoNawahi fika mshindo ndani ya sekunde
Siwezi rudia rounds
Mimi nikiiona tu K kwa macho huwa namwaga hapohapoNawahi fika mshindo ndani ya sekunde
Siwezi rudia rounds
Nabado nguvu unazoMimi nikiiona tu K kwa macho huwa namwaga hapohapo
Weka wazi tatizo usaidiwe je? Mzigo hausimami, unawahi kufika kileleni, unasimama legelege au vipi?Habarini za asubuhi wakuu, natumaini mmeamka salama kabisa, Mungu aendelee kuwaongoza.
Jamani mimi kijana wenu nimekuja hapa nina changamoto kubwa sana ya upungufu wa nguvu za kiume...
Hilo tatizo dogo sanaNawahi fika mshindo
Siwezi rudia tendo
Hapana tatizo sikuzaliwa nalo
Mkuu ndio maana tafuta suluhisho ya hili tatizoKumbe ni mpenzi achana nae tu mi nlijua mke. Ye alitakiwa akutie moyo
Ila ndo kwanza anakusimanga.
Jitibu kwanza
Afya kwanza
Nipo moshi kiongoziHilo tatizo dogo sana
Kama unaishi hapa Dar nenda pale kariakoo sokoni ule mtaa ambao wanauza dawa za kienyeji
Nunu kungu manga robo au nusu kilasiku tafuna mbili moja asubuhi na moja jioni au kama utazisaga tumia kijiko kimoja asubi na kimoja jioni fanya na mazoezi ya kukimbia baada ya mwezi mmoja lete mrejesho hapa
Usile 2 au 3 kwa Mara moja maana zinalewesha
😂😂Mimi nikiiona tu K kwa macho huwa namwaga hapohapo
Jitahidi kula chakula mapema.Mkuu ndio maana tafuta suluhisho ya hili tatizo
Ameniambia nitafute suluhisho maana hii hali inaweza nisumbua hata baadae
Sawa mkuuJitahidi kula chakula mapema.
Kabla ya saa moja usiku uwe ushakula...
Nawahi fika mshindo
Siwezi rudia tendo
Hapana, tatizo sikuzaliwa nalo
Njia za kulimaliza tatizo la upungufu wa nguvu za kiumeHabarini za asubuhi wakuu, natumaini mmeamka salama kabisa, Mungu aendelee kuwaongoza.
Jamani mimi kijana wenu nimekuja hapa nina changamoto kubwa sana ya upungufu wa nguvu za kiume.
Halii hii inanitesa sana, yaaani nikiangalia umri wangu na tatizo ambalo ninalo roho inaniuma najiona mwanaume nisie na faida😞
Imefikia hatua sasa mpenzi wangu anataka kuniacha, maana kasema tutaishi vipi mimi nikiwa na hali hii.
Maana hapo mwanzo nilimuomba anipe muda kumuhaidi kuwa nitatatua hii changamoto inayonisumbua lakini wapi imeshindikana
Na kinachoniuma zaidi nimeshatumia pesa nyingi, kwa upande wangu nasema ni nyingi kutokana sina shughuli rasmi, so shughuli zangu ni za kuunga unga tu.
Jaman naandika huu uzi wakati moyo wangu ukiwa na masononeko kweli
Hata nilijaribu kutembelea baadhi ya hizi taasisi za tiba mbadala tena zenye majina makubwa na ndio huko pesa zangu ziliisha kabisa, hadi sasa nimebaki mtupu hapa na bado tatizo linaendeleaa (sijapona bado hii changamoto)
Jaman mwenye kujua jinsi ya kutibu hili tatizo anisaidie wakuu, maana imefikia hatua hata nikikutana na wadada siwezi tongoza maana hizo nguvu sina kabisa
Daah, Roho inaniuma sana
Huu ushauri Ni mzuri sana tatizo hawatakuelewaAcha kupiga punyeto, fanya mazoezi, kula vyakula vyenye lishe, dona mbogamboga achana na vyakula vya mafuta.
Pendelea kunywa chai ya tangawizi kali, tumia sana vitunguu swaumu, ondowa wasiwasi ukiwa na huyo mpenzi kinachokusumbuwa ni inferiority complex.
Bado Kuna moja hujatimizaMkuu hivyo vyote nimefanya
Nipo moshi kiongozi
Vumbi la Congo tuu hapo mana hakuna namna.