Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Watu wengi wanahangaika na tiba ya upungufu wa nguvu za kiume ila mimi nitaongelea katika suala la kujichua tu (punyeto). Kumbuka mimi siyo daktari wala siuzi dawa. Hii ni elimu tunapeana kama wanaume
Amini hili suala la upungufu wa nguvu za kiume baada ya kuathirika na punyeto linatibika na mimi nimepona. Huu ni ushuhuda wangu 100%. Nilianza tabia ya kujichua baada ya kuangalia picha na video za utupu, nilijichua kwa muda mrefu na madhara yake yalikuwa haya
  • Nawahi kumaliza chini ya dakika 1
  • Uume unakuwa mdogo kama wa mtoto mdogo
  • Sina hisia na mwanamke. Ile hamu ya kusimamisha haipo ipo kwa mbali sana
  • Mapigo ya moyo kupungua hata kutokuwepo. Hii hutokea ambapo unapokuwa na hisia za kujamiana, mapigo hudunda haraka haraka kusukuma damu nyingi kupeleka kwenye uume. Hali hii hutoweka
  • Uume kusimama legelege, huwezi kusimamisha kama msumari kwa dakika 2 na kuendelea.
  • Ukisimamisha na ukapata msuguano kidogo sana, unaweza ukapizi ndani ya boksa. Unaweza ukawa unashikana na mwanamke kimahaba ila ukajikuta umemwaga hata haujavua nguo.
Unajua kuchanganyikiwa kwa mwanaume ni katika hali hii. Nilichanganyikiwa hasa. Nilichofanya
Nilienda hospitali moja ya private (Jina kapuni) huko Dodoma nikamuelezea dokta hivi
1. Nawahi kumaliza, chini ya dakika moja
2. Mimi ni muathirika wa punyeto. Nilikuwa najichua
Watu wengi wanashindwa kupata matibabu kwasababu
A. Hawaendi katika hospitali kubwa. Unatakiwa uende hospitali kubwa za serikali au binafsi
B. Kutojielezea vizuri. Hawatoi maelezo yaliyojitosheleza.
C. Uelewa wa daktari na jinsia. Ukikutana daktari kipanga atakuandikia dawa nzuri na pia angalia jinsia hasa mwanaume.
D. Aibu. Acha kuwa na aibu hayo ndiyo mashai yako
Daktari aliniandikia dawa 4 ( majina kampuni) ambazo zilinigharimu kiasi cha 60,000 za kitanzania. Dawa mbili hazikuwepo hospitalini, mbili zingine nilinunua kwenye duka la dawa lililo jirani na hospitali hiyo. Mpaka leo risiti zake za dawa ninazo. Nimewekea lamination kabisa
Nilitumia dawa kwa miezi 3, ilikuwa 2015-06-06. Niliacha kujichua na kuangalia picha za X.
Baada ya kutumia dawa hizi niliona mabadiliko haya
1. Uume ulirudi katika hali yake ya awali. Ulikuwa mkubwa
2. Nilianza kusimamisha mpk unauma. Nasimamisha msumari
3. Nilianza kupata hisia ya kujamiana
4. Niliona mapigo ya moyo yanaenda mbio, moyo kusukuma damu nyingi kuepeleka kwenye uume.
Baada ya hapo nilianza kutumia asali ya nyuki wakubwa na wadogo pia. Nilitumia kama wiki 3 hivi. Asubuhi nakunywa vijiko 3 mpk 4, mchana na usiku. Kuna wakati nakunywa asali iliyojaa kwenye kichupa cha milimilita 300 kwa mara moja, kuna wakati natumia kulia na ugali.
Nikaja kutumia dawa (jina kapuni). Nilimeza kidonge kimoja tu kwa usiku mmoja na sijawahi kutumia tena mpaka leo hii. Kinauzwa 1500 mpaka 3500 kulingana na mkoa
Nikianza kupiga show natumia dakika 22 mpaka 30, hamu napata, kwa siku naweza kupiga show nyingi na simwagi mapema, naenda style zote. Kuna wakati sili chakula kwa wakati, maji sinywi kwa wakati na sifanyi mazoezi ila show napiga mpaka shemeji yenu anadai amechoka.
Unayesoma soma comment hii, matibabu ya kweli yapo hospitali. Nenda hospitalini. Ukapate tiba na acha kujichua. Siuzi dawa wala siyo daktari. Mimi ni mhanga kama ulivyo wewe tu.

Huyu jamaa kama hataki kutoa information hapa basi tusimtafute. Anaweza kudai pesa kuwa anajua matibabu. Maelezo yake ni marefu ila hajatoa taarifa muhimu. Anaficha nn? Kwa nn asisaidie watu hapa?
 
Habarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11
Tambua sababu zinazosababisha ukose nguvu za kiume
1. Stress: zinasababisha kwa kupunguza uwezo wa mwili kufanya kazi kutoa hormone ya testosterone inayoleta hisia na kuongeza nguvu ya kusimamisha.
Ndo maana unashauriwa utafute kitu au sehemu ambayo haitakupa stress ndo unaweza kufanya kwa ufasaha

2. Upungufu wa hormone za kuleta hisia: unakuta mtu hana kabisa hisia ya tendo la ndoa au anafanya tu kumridhisha mwenzake, wakati mwingine hawezi kusimamisha, hii ni kwasababu homoni zake hazitoshi kufanya kazi.
Kwahiyo unatakiwa ufanye utaratibu wa kuweka homoni zako sawa

3. Misosi/ vyakula: mfano wa hivyo vyakula ni kula chips kwa sana, kutumia sana ngano, kula vyakula vya mafuta kama nyama za mdudu,
Ndo maana unakuta vijana wa maisha ya kawaida wana nguvu sana za kiume kulinganisha na vijana waliofanikiwa kutoboa.
Kwahiyo hata ukitoboa maisha hakikisha unakula vyakula vinavyofaa kwa afya ya mifupa na misuli

4. Kutokufanya mazoezi:
Hili ni tatizo kubwa sana tena sana, mwili usio na mazoezi unachoka haraka sana kuweza kumfikisha mwanamke.
Ndio maana vijana wanaofanya kazi ngumu huwa wako vizuri kitandani kulinganisha wale wa maofisini

Ukitaka kuepuka hili fanya mazoezi ya kuchuchumaa na kusimama kila siku mara 100 af kunywa tangawizi kikombe kimoja kila siku baada ya siku kazaa mpenzi wako atakuuliza unatumia dawa gani

5. Kunywa pombe kupita kiasi:
Pombe ni nzuri kwasababu inakuchelewesha kufika mwisho maana mawasiliano ya ubongo na mshine yanachelewa kufika,
Lakini ukizodisha pombe nguvu zako zinapungua kwa kupunguza mawasiliano ya hisia na ubongo wako.
Mwisho wa siku unakuwa mtu wa dakika tano umemaliza

6. Umri: umri wa mwanaume unavyozidi kuongezeka zile homoni za kusisimua huwa zinapungua na kusababisha kushindwa kuwamudu hawa vibinti.

Ukikumbana na tatizo hili tumia sana tangawizi na mazoezi ya kutosha ili kuamsha homoni zako zikae sawa
(mbadala wa tangawizi kuna dawa inafanya kazi hasa kwa watoto waliozaliwa wakiwa na hayo matatizo) inawasaidia sana pia wazee kurudisha heshima yao

7. Kuvuta sigara kwa muda mrefu: nina uncle wangu mmoja yeye huwa anasema kati ya madhara makubwa anayopata kwa kuvuta sigara ni aibu anayoipata kwa mke wake.
Sigara ukizubaa inapoteza kabisa uwezo wa kusimamisha na mbegu zako zinakuwa zinatoka kama maji

Ila alipona baada ya kuacha sigara na kuzibua mishipa yote kwa dawa maalumu

8. Matibabu ya hospitali: kuna watu nguvu zao zinapungua baada ya kuchomwa sindano vibaya, kupewa dawa zikawakataa, baada ya kufanyiwa operesheni.
Hapa siongei sana madaktari wenyewe wanajua wanaita ajali kazini

9. Kupata ajali: ajali za pikipiki zinapunguza sana ufanisi wa vijana,
Kiuno na mgongo ndo kiungo cha kila kitu.
Ukiteguka kidogo umekwisha
Ingawa hii inatibika kwa wataalamu wa mifupa.

10. Homoni zisizowiana: hii inatokea sana siku hizi hasa kwa watoto, kibaya zaidi wanakuwa hawajielewi ndo maana wanajikuta wameshaingia kwenye ushog
Unakuta mtoto ana miaka 14 lakini hajui kusimamisha labda awe amebanwa na mkojo tu
Hii ni mbaya sana jitahidi kumkagua mtoto wako au kuongea naye mara kwa mara
Hili tatizo linatibika kama atawahi
Kuna mtoto alikuwa anajificha lakini nikaambiwa na rafiki yake nikawaita wazazi wake tukamtafutia dawa akapona kabisa ndani ya wiki moja akaanza kukimbiza vibinti mtaani

11. Magonjwa yasiyo ya kuambukiza: kisukari, pressure,
Yanachangia sana, na haya yanaletwa na ulaji mbaya wa vyakula

12. Kitambi, tumbo kubwa, uzito uliopitiliza: Mwili unakuwa hauna balance na matokeo yake mashine inakuwa haina uwezo wa kufanya kazi kwa ufasaha

13. Mazingira na usafi: kuna watu akikutana na mwanamke mchafu au mazingira mabaya hamu ya kufanya inakata kabisa

Siku moja nimekaa na babu yangu 2016 nikawa namsimulia matatizo wanayoyapata vijana wa siku hizi hasa ya nguvu za kiume.
Huyo mzee alinipeleka pori moja huko Kagera akanionesha mti mmoja ambao
Unapatikana kwenye maeneo ya ikweta tu

Tukachukua hiyo dawa akaniambia zamani walikuwa wanawapatia watoto wanaozaliwa na hayo matatizo.

Habari njema ni kwamba matatizo yote hayo unaweza kuyatatua ndani ya siku tatu kwa dawa hii ya asili kabisa

Tupigie leo simu
Kwa ufafanuzi zaidi

Kuna dawa za aina tatu
Dawa za vyakula
Dawa za mazoezi
Dawa hii ambayo mimi naitumia kuwasaidia watu waliohangahika bila mafanikio

Rudisha furaha kwenye ndoa yako leo
 
Nimekoma mama wa taifa kubwa Tanzania Halima na mama samia
IMG-20230228-WA0000.jpg
 
1) Kuwahi kufika kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2) Kukosa hamu ya tendo kabisa / kukosa msisimko/mihemko

3) Mwili kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na huambatana na usingizi mzito sana.

4) Mbegu kutoka kidogo au hazitoki kabisa.

5) Uume kuwa lege lege wakati unashiriki tendo.

6) Uume kusinya na kuwa mdogo.

7) Kushindwa kurudia tendo kabisa.

8) Kuwa na hasira baada tu ya tendo.

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume, kama umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na kama unamfahamu mtu mwenye changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru.

Kumbuka hilo tatizo likiwa sugu utapata shida sana kurejea ubora wa mwanzo, itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga afya yako sasa hivi, kwanini usubiri kesho?
 
ta
DAAH!! KUMBE HUYU MWANAMKE AMESHAANZA KUTAFUTA MBADALA WANGU KWA SABABU TUU YA MIMI KUWA NA CHANGAMOTO ZIFUATAZO?

1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kukosa Hamu ya Tendo kabisa / kukosa Msisimko/Mihemko

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito sana.

4)Mbegu kutoka kidogo au hazitoki kabisa.

5)Uume kuwa Lege lege wakati unashiriki Tendo

6)Uume kusinya na kuwa mdogo

7) kushindwa kurudia tendo kabisa

8)kuwa na hasira baada tu ya tendo

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume kama umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na Kama unamfahamu mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?
Tangazo lako la biashara halijajitosheleza
 
Back
Top Bottom