Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tumia viwembe safi na ukwangue kila asubuhi baada ya kuoga hata kama haziota sana. Kisha paka aftershave. Hii imenisaidia nilikua na tatizo hilo.
 
Mkuu mm nilikuwa na tatizo la upele kwenye kisogo nyuma ulinisumbua sana mpaka nikashuliwa kuchoma mionzi kwani walisema aina dawa yyte lakini namshukuru mungu nilipata dawa moja ilinisaidia sana had now nimepona hata sikutegemea kiukweli iwe na joto ukaona muwasho ulivyo kwahyo hta juzi nilibugi nikanyoa kwa gillet asee nilipata vipele vbaya lkn mara nying nilikuwa natumia salon lkn siku hyo nilikuwa mbali na saloni nilipo acha ndevu kwa kipindi cha wiki moja na nusu ili vipele vipungue uku nikitumia dawa hiyo ya gentriderm ambayo nilikuwa naitumia kwenye kisogo naona nimepona jalibu mkuu inauzwa 3500 au 3000 utanipa jibu usitumie pesa yako nyingi italiwa bure bila mafanikio ile unapaka kama mafuta kidogo tu wala aiwashi ni tube
 
Magic Powder zina madhara gani wadau? Mimi nilizitumia miaka ya nyuma nikaacha sababu nilikuwa bado naendelea kutoka vipele.
 
Mkuu mm nilikuwa na tatizo la upele kwenye kisogo nyuma ulinisumbua sana mpaka nikashuliwa kuchoma mionzi kwani walisema aina dawa yyte lakini namshukuru mungu nilipata dawa moja ilinisaidia sana had now nimepona hata sikutegemea kiukweli iwe na joto ukaona muwasho ulivyo kwahyo hta juzi nilibugi nikanyoa kwa gillet asee nilipata vipele vbaya lkn mara nying nilikuwa natumia salon lkn siku hyo nilikuwa mbali na saloni nilipo acha ndevu kwa kipindi cha wiki moja na nusu ili vipele vipungue uku nikitumia dawa hiyo ya gentriderm ambayo nilikuwa naitumia kwenye kisogo naona nimepona jalibu mkuu inauzwa 3500 au 3000 utanipa jibu usitumie pesa yako nyingi italiwa bure bila mafanikio ile unapaka kama mafuta kidogo tu wala aiwashi ni tube
Hiyo gentriderm inapatikana pharmacy mkuu? Sio cream?
NIliwahi kutumia gentrosone lakin haikusaidia
 
Piece of advice, ukinyoa uwe unaangalia direction ya nywele unanyoa kulingana na uelekeo wake usinyoe upande tofauti mfano nywele zimeota kuelekea juu basi nyoa kuelekea juu inasaidia kutotokewa vipele
Naona umezingatia unyoaji wa kinena mkuu.

Kinena ni tofauti na kidevu ujue,
 
Nilianza kuota ndevu takribani miaka 7 iliyopita, katika miaka 2 ya mwanzo nilifurahia kua na ndevu na nilinyoa ndevu kwa staili yoyote ile niipendayo.
Baada ya muda huo nilianza kusumbuliwa na tatizo la kutokwa na vipele kila baada ya kunyoa/kuchonga ndevu zangu.
Kukabiliana na tatizo hili niliamua kutumia njia 3 kwa nyakati tofauti lakini zote zimegonga mwamba na mpaka sasa vipele vya ndevu vinanitoka sana mpaka kutishia kuharibu unadhifu wa ngozi yangu...
Njia ambazo nilitumia kuondoa vipele zimekua zinanisaidia mwanzoni tu lakini baada ya muda vipele huendelea na kutotibiwa na njia/dawa husika! Njia/dawa hizo ni kama ifuatavyo;
√Kubadili vivyozi/barber shop
√Split na after shave aina nyingi
√Eskinol
√Gentlemen pride(product ya forever)
√Gentrose
√Persol gel
√Kukanda maji ya moto
√Kupaka mawe flani meupe
√Kupaka utomvu wa alovera
√Kubadili lotion nazotumia mfano Nivea, cocopulp, kupakaa mafuta mfano zawadi zanzibar, babycare
√Shaving cream
√Kunyoa kwa kutumia magic powder
√Kushave mwenyewe kwa kutumia povu la gillete etc
Pamoja na kutumia njia/dawa hizo katika vipindi tofauti tofauti zoote zimeshindwa kutatua tatizo langu. Kwa waliowahi kuona tatizo kama hili tushirikiane kupata ufumbuzi wake
Fuata Ushauri wa Mkuu.@kwenda21 nunuwa Mashine unyolee ndevu, usinyolee ndevu Kiwembe.
 
Kumbuka ( mungu ) kakupamba kwa ndevu wewe hutaki kupambika yawezekama pia ( mungu ) anaonesha uwezo wake jipambe kwa ndevu punguza kidogo ziwe safi bas inatosha.
 
Nywele zote ukizinyoa tofauti unapata vipele hata kwapa.....
Mie mwenyewe nna ndevu

Ngoja niweke picha zako hapa ili ambao hawajawahi kukuona wakuone na ndevu zako dear
 

Attachments

  • 1452402236766.jpg
    1452402236766.jpg
    6.3 KB · Views: 127
  • 1452402246720.jpg
    1452402246720.jpg
    11.6 KB · Views: 86
  • 1452402255291.jpg
    1452402255291.jpg
    10 KB · Views: 96
  • 1452402266479.jpg
    1452402266479.jpg
    8.4 KB · Views: 89
Nunua mashine ya kunyoa (Hizi home cut,ziache ndevu ziote hadi vipele vyote viishe kabisa,kabla ya kunyoa isafishe mashine kwa spirit pia zioshe ndevu kwa sabuni na ukaushe kwa taulo safi baada ya kunyoa paka kidevu spirit,muda wa kunyoa usitofautiane sana kama ni siku tatu iwe hivyo,tatizo linaweza kwisha kabisa.

Sasa spirit si inadumaza kidevuuu?
 
Back
Top Bottom