Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Nsiande hebu weka wazi ina maana umeme unapoozwa Makumbusho lakini haujapita kanisa la Kakobe?
Hebu niambie ni mbadala gani ulofanyika?
Hebu niambie ni mbadala gani ulofanyika?
Haya matatizo ya kiufundi yasigeuzwe kuwa ya kiimani...........
Umeme haupiti hapo wakati tayari unapoozwa makumbusho sub station tayari kusambazwa na unasambazwa tangu mradi ukamilike
Hayo Mengineyo ni utendaji wa watu na watahukumiwa kwa utendaji mbovu.