Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 13
Tazama ramani utaona nchi nzuri
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka
Nchi hio mashughuli huitwa Tanzania.
Tumesikia mara kibao bwawa limekauka maji nakwahio haliwezi kuzalisha umeme unaotosha.
Kuna baadhi ya mito mikubwa Tanzania.
Kama serikali haiwezi kutengeneza mabwawa mengine kutokana na uhaba wa pesa, [Ooops nimesahau pesa za EPA.]
Kwanini serikali isitoe mwito kwa kila mtanzania kwenda kujenga dam kwa mikono?
Watu 33 Mn kwa sensa ya 2002 tushindwe kujenga dam kwa mikono yetu linaloweza kuzalisha umeme wakututosha na pengine wakuuza kwa nchi za jirani?
Mzee hapa una-bore. Haya masuala ya kutazama Ramani yalitumika miaka hile ya zamani wakati tunatafuta identity ya utaifa.
Miaka ya sasa ni lazima tuachane na fantasy na kuangalia reality. Ujenzi wa dam una negative impacts kwa ecosystem.