Mradi huu wa Kinyerezi II uliwekwa jiwe la msingi na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli achi 16, 2016. Mradi unatarajiwa kukamilika ifikapo Septemba 2018.
Mitambo ya kuzalisha umeme (System Turbine, no 2) kwa ajili ya mradi wa kutumia gesi asilia wa Kinyerezi II iliingia nchini kupitia Bandarini Oktoba 16, 2017 na leo hii Novemba 03, 2017 imetolewa Bandarini na hivi sasa inaelekea kituo cha kuzalisha umeme kwa gesi Kinyerezi II (MW 240) Jijini Dare es Salaam.
Mradi huu wa Kinyerezi II uliwekwa jiwe la msingi na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli achi 16, 2016. Mradi unatarajiwa kukamilika ifikapo Septemba 2018.
Tatizo la Tanzania hatujui maana ya kazi,na zaidi sana tunawaza kula kabla ya kazi,zaidi ya yote mtanzania ukimshauri anaona kama unamndolea heshima.Bila kujua maana ya jazi wimbo ni uleule.
Tatizo la Tanzania hatujui maana ya kazi,na zaidi sana tunawaza kula kabla ya kazi,zaidi ya yote mtanzania ukimshauri anaona kama unamndolea heshima.Bila kujua maana ya jazi wimbo ni uleule.
Lini hiyo???Nchi hii umeme utakatika mpaka pale ccm watakapoondoka madarakani
Bado sanaumeme wa uhakika ni pale ccm itakapotoka madarakani
Vipi mkuu, huwa unasambaza unga na maharagwe kwenye nyumba za watu nini?Radial la Tanzania hatujui maana ya kazi,na zaidi sana tunawaza kula kabla ya kazi,zaidi ya yote mtanzania ukimshauri anaona kama unamndolea heshima.Bila kujua maana ya jazi wimbo ni uleule.