TATIZO LA UMEME DSM

darts

JF-Expert Member
Jul 16, 2016
257
176
Habari, binafsi nimeona lishakuwa ni tatizo LA umeme hakuna tena uhakika wa umeme Na hili limeanza Mara baada ya Kuondolewa kwa WAZIRI wa Nishati Professor Muhongo yawezekana aliweza kulisamia hili Na Mara baada ya kuondoka tumerudi tulipotoka. Nachelea kuyasema haya kwani kwenye kipindi chake aliwahi kutueleza watu wanafanya hujuma KIDATO kwenye vyanzo VYA MAJI kwa kuyafungulia yaende kumwagilia ili watu wafanye BIASHARA ya majereta. Tulikuwa tukipita Kariakoo utazani upo maeneo ya viwanda ni makelele . Aidha kama yupo anaejua kuna tatizo gani maana Tanesco kama kawaida kimyaa hatakutueleza Wateja wake.Pia niliwahi kusikia kuna nchi itakuja kuwekeza kwenye Umeme Sijui inakuja lini Bola ije mapema. Navip kuhusu Gesi haina MSAADA katika umeme hau bado haijaanza kuvunwa.
 
Yaani huko ambapo umeme unazalishwa ni tabu, huku kwingine je?? hasa mikoa iliyo gridi ya taifa
 
Yaani huko ambapo umeme unazalishwa ni tabu, huku kwingine je?? hasa mikoa iliyo gridi ya taifa
Kuna haja Tanesco waje humu watueleze tatizo nini ! Mungu amejalia mwaka huu mvua zimenyesha zakutosha. Gesi tunayo yakutosha . au wenye ufahamu zaidi tupatieni mlijualo juu ya hili. Viwanda navyo havita wezekana kama hakuna uhakika wa umeme.
 
Kuna haja Tanesco waje humu watueleze tatizo nini ! Mungu amejalia mwaka huu mvua zimenyesha zakutosha. Gesi tunayo yakutosha . au wenye ufahamu zaidi tupatieni mlijualo juu ya hili. Viwanda navyo havita wezekana kama hakuna uhakika wa umeme.
uko sahihi mkuu ni vyema TANESCO watuelezee kwa kina
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom