Tatizo la umeme: Awamu ya tano haiwezi kukwepa lawama labda tu kama madai hayana ukweli

View attachment 2015658

Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.

TANESCO long term plan yao ya umeme inapatikana kwenye link hapo juu na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower (stigler gorge is also mentioned), gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.

Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa with very simple arguments, watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.

Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.

Bwawa la Nyerere gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.

Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.

More safe maana bomba la gas lina line moja tu hakuna back. Likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatokana na Gas kuongeza tena hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.

Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.

Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika vitu ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ni ujinga mtupu.

Imeshakupa Like Mkuu..
Jamaa Ameandika Kule twitter anajua anamaanisha nini? Anajua Ukweli woote!Amechagua Upande tuu simple logic hiyo Kaka!
 
Zitto anatetea tu ustadhi mwenzie na msitegemea ukosoaji wowote hadi Hangaya atoke.

Atutajie hizo shughuli zilizofungua uchumi na kuongeza matumizi ya umeme ghafla bin vuu.

Msimfanye JPM kuwa shock absorber kwa failures za Mama yenu.
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
 
Zito sura lake baya sauti lake baya zezeta lichumia tumbo mamruki la CCM CHAMA CHA WAPIGA DILI NDIO MAAANA NASEMA TANZANIA HAKUNA UPINZANI ETI KMA NDIO PINZANI HILI KWELI? hajui agenda ya chama chake ni kipi Ccm ndio limetengeneza chama hicho pale amekaaa tu kma box eti nae anajiiita msomi
Utapasuka huo moyo wako kwa kujilisha PROPAGANDA HASI🤣
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Zito anatia huruma!! Bado anajidanganya kuwa kuna mtu anayeweza kumsikiliza!! Hana ubavu wa kumchafua JPM!! Legacy ya JPM hakuna awezaye kuifuta!! Kama unabisha waulize waliojaribu kampeni ya kutuchanja watanzania chanjo ya covid 19!! Chanjo zimedoda!! Kisa?? watu wanamwamini JPM japo hayupo kuliko wanasiasa waliopo!! Huo ndio ukweli usiopingika!!
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Zitto anazani kipindi cha awamu ya tano tulikuwa tunaishi Kenya.
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Unamatatizo ya kufikiri ndugu, yawezekana wewe ni Wale wa MAMA KAUPIGA MWINGI.
*TIME HEALS ALL WOUNDS *
 
Ni kwamba hawakumbuki au ni Praise Team?!

Watu wanakaa wiki 2 bila umeme halafu unaita "hitilafu za hapa na pale"?!

Na swali ambalo mara kwa mara nimekuwa nikihoji bila kupatiwa majibu ni vyanzo gani vipya vya umeme ambavyo vilianzisha hata nchi iwe na umeme wa bwelele?!

Hata ukisoma ripoti za wizara wenyewe tena enzi za JPM, wanaonesha umeme uliokuwa unategemewa sana ni wa gesi... yaani gesi ile ile ambayo kutokana na ushabiki tu, wanakejeli ili kutetea mradi wa Bwawa la Nyerere!!

Hata mipango ya awali ya kujenga Kinyerezi III na Kinyerezi IV ikaachwa kwa sababu ya Bwawa la Nyerere!!!

Watu ukiwapa huo ukweli, wanatoa povu!!!
Mzee unazani labda sisi tulikuwa tunaishi Kenya, awamu tano hakukuwa na MGAO MKALI WA UMEME. Ila hii too much wewe juzi Kariakoo umeme kuanzia saa 3 asubuhi mpaka 12 jioni.

Halafu lile bwawa la umeme plan ipo tokea enzi ya Nyerere issues ilikuwa ni fedha.Hii gesi haiminiki kipindi michakato ilivyo anza tuka ambiwa tutanunua umeme kwa bei rahisi lakini hapa kati sijui ilikuwaje kuwaje,mimi umeme wa gesi na utizama kwa uwekezaji wake mkataba uliosainiwa juzi unaweza wa miaka 100 au zaidi, huyo mwekezaji kurudisha tn 70 si swala dogo.
 
Nafikiri hukumwelewa Zitto vizuri. Issue iliyopo ni kwamba ktk miaka 5 hii hatukuongeza hata 1MW, je ni uongo? Na kama taifa lilishaingia gharama za kuanzisha miradi ambayo ingepunguza changamoto ya upungufu wa umeme, je ilikuwa ni sahihi kuzififisha jitihada hizo au zingeendelezwa na kuboreshwa pale palupokuwa na mapungufu! Kama mradi mkubwa unaojengwa utachukua takribani miaka 7 kukamilika je wimbo wa Tanzania ya viwanda ungeendelea kusubiri hadi mradi huo utakapo kamilika! Je unadhani kwa kusitisha jitihada za makusudi zilizokuwa na lengo la kupunguza chanagamoto ya upungufu wa umeme ilikuwa ni busara na njia sahihi ya uongozi au ni kuaminisha watu kuwa aliyepita hakufanya chochote cha maana ila mm ndiye ninayejua na kuweza kila kitu!
Wafia legacy ya wasuumbua sana.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri hukumwelewa Zitto vizuri. Issue iliyopo ni kwamba ktk miaka 5 hii hatukuongeza hata 1MW, je ni uongo? Na kama taifa lilishaingia gharama za kuanzisha miradi ambayo ingepunguza changamoto ya upungufu wa umeme, je ilikuwa ni sahihi kuzififisha jitihada hizo au zingeendelezwa na kuboreshwa pale palupokuwa na mapungufu! Kama mradi mkubwa unaojengwa utachukua takribani miaka 7 kukamilika je wimbo wa Tanzania ya viwanda ungeendelea kusubiri hadi mradi huo utakapo kamilika! Je unadhani kwa kusitisha jitihada za makusudi zilizokuwa na lengo la kupunguza chanagamoto ya upungufu wa umeme ilikuwa ni busara na njia sahihi ya uongozi au ni kuaminisha watu kuwa aliyepita hakufanya chochote cha maana ila mm ndiye ninayejua na kuweza kila kitu!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!

MOTOCHINI, jingalao, @Ruttashobolwa, Lizaboni, TataMadiba, Ritz, FaizaFoxy, Simiyu Yetu, MwanaDiwani, Stroke imhotep Magonjwa Mtambuka Mgambilwa ni mntu Musiba
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom