Tatizo la ukosefu wa maji ya Dawasco Kijitonyama, Dar ni nini?

Jun 8, 2021
31
43
Leo ni takribani siku ya sita maji hayapatikani/hayatoki na wahusika wako kimya! Maji tunanunua mtaani ndoo tsh 500/- (yenye chumvi) na tsh 1000/-(yasiyo na chumvi). Maji haya mbali na ughali wake hatujui source yake, hivyo in hatari sana kwa afya ya watumiaji.
 
Mbezi beach yameanza kutoka jioni. Jamaa wanakata maji bila taarifa siku ya sita sasa. Halafu yule DG ni mpumbavu sana jana alihojiwa na akina Gardner akasema wamemaliza matengenezo maji yataamza kutoka kwenye saa nne usiku.

Yani wanakata bila taarifa na ni matengenezo ambayo ya kawaida Ina maana siku inajulikana wangeweza kutoa taarifa Ila hawakufanya hivyo.

Very primitive.
 
Mbezi beach yameanza kutoka jioni. Jamaa wanakata maji bila taarifa siku ya sita sasa. Halafu yule DG ni mpumbavu sana jana alihojiwa na akina Gardner akasema wamemaliza matengenezo maji yataamza kutoka kwenye saa nne usiku.

Yani wanakata bila taarifa na ni matengenezo ambayo ya kawaida Ina maana siku inajulikana wangeweza kutoa taarifa Ila hawakufanya hivyo.

Very primitive.
Usiwe mtu wa kulaumu
Taarifa ilitolewa na iliwekwa hadi kwenye mitandao ya Kijamii na wakatangaza mpk maeneo yatakayohathirika na wakatoa taadhari tuhifadhi maji yatakayitosheleza kwa kipindi cha matengenezo
 
Usiwe mtu wa kulaumu
Taarifa ilitolewa na iliwekwa hadi kwenye mitandao ya Kijamii na wakatangaza mpk maeneo yatakayohathirika na wakatoa taadhari tuhifadhi maji yatakayitosheleza kwa kipindi cha matengenezo
Walitangaza mitandao ya kijamii IPI? Tukubali ukweli kwa hili wamezingua, maji ni muhimu sana kwa mahitaji ya binadamu yeyote, yanapokatwa taarifa itolewe mapema kabla.
 
Mbezi beach yameanza kutoka jioni. Jamaa wanakata maji bila taarifa siku ya sita sasa. Halafu yule DG ni mpumbavu sana jana alihojiwa na akina Gardner akasema wamemaliza matengenezo maji yataamza kutoka kwenye saa nne usiku.

Yani wanakata bila taarifa na ni matengenezo ambayo ya kawaida Ina maana siku inajulikana wangeweza kutoa taarifa Ila hawakufanya hivyo.

Very primitive.
Hao ndiyo watu ambao wanatakiwa kutumbuliwa. Wakipewa vyeo wanakuwa na viburi na kuendesha mambo kama ni ya familia yao.
 
Back
Top Bottom