Hili ni kwa serikali na watunga Sera wa Taifa hili. Kuna tafiti moja nilikuwa nasoma imefanywa na Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, nimeshangaa kuona hili tatizo lilipofikia. Sio kwamba nilikuwa sijui bali tatizo ni kubwa na vijana waliohitimu vyuo vya elimu ya juu kwa maelfu hawana kazi wala matumaini.
Kwa wale wanaokuja na kauli kwamba hawa vijana wangejiajiri labda wajiulize hili, upatikanaji wa mikopo ukoje kwenye taasisi za kifedha? As far as I know financial institutions nyingi zinakopesha operating businesses, sio startups, wanakopesha a working business, ambayo financial flow yake inaeleweka, it is financially predictable.
Suala la vijana kudai ajira ni haki yao kwa taifa lao, ndio maana Rais Trump always brags via Twitter kwa jinsi gani amepunguza unemployment mpaka asilimia 3%, kwa maana nyingine asilimia 97 ya Wamarekani wana kazi.
Suala la ukosefu wa ajira is a serious political business, na lisipochukuliwa hatua na serikali kwa kujenga mazingira either ya vijana kujiajiri au kuajiriwa, let's call a spade a spade, lazima majanga ya kisiasa yanatungoja, vijana wamekata tamaa, wamekuwa mizigo kwenye familia. I do understand its not their choices to be jobless and hopeless, mbinu zimeisha, kama hauna kazi na hauna mtaji what can you do?
Hebu tusaidie hawa vijana, hali yao ya kimaisha ni mbaya, kelele kwenye mitandao ya kijamii haitaisha. We have to find a solution.
Serikali itafuta namna ya ku-empower hawa vijana before they become a political threat kwenye jamii yetu. They deserve a better future. Mtu anawezaje kumaliza Cambridge na Masters yake nzuri na anahangaika mtaani? Inasikitisha sana.
Let's find a workable solutions, kwani serikali haiwenzi anzisha programs kubwa za kilimo na zikawapa graduates maeneo ya kulima strategic food products hata for export and industrial raw materials? Mchina anataka muhogo wa kutosha, kuna Chia seeds, kuna kokoa, mazao kibao, kwanini serikali isianzishe mashamba makubwa hawa vijana wape kazi kama viwanda mambo yanaenda taratibu?
Ni ombi tu. Tusijifikirie sisi tulio maofisini. Hawa vijana wasiposaidia leo, kesho watakuwa watumwa kwenye nchi yao wenyewe.
Mungu ibariki Tanzania.
Kwa wale wanaokuja na kauli kwamba hawa vijana wangejiajiri labda wajiulize hili, upatikanaji wa mikopo ukoje kwenye taasisi za kifedha? As far as I know financial institutions nyingi zinakopesha operating businesses, sio startups, wanakopesha a working business, ambayo financial flow yake inaeleweka, it is financially predictable.
Suala la vijana kudai ajira ni haki yao kwa taifa lao, ndio maana Rais Trump always brags via Twitter kwa jinsi gani amepunguza unemployment mpaka asilimia 3%, kwa maana nyingine asilimia 97 ya Wamarekani wana kazi.
Suala la ukosefu wa ajira is a serious political business, na lisipochukuliwa hatua na serikali kwa kujenga mazingira either ya vijana kujiajiri au kuajiriwa, let's call a spade a spade, lazima majanga ya kisiasa yanatungoja, vijana wamekata tamaa, wamekuwa mizigo kwenye familia. I do understand its not their choices to be jobless and hopeless, mbinu zimeisha, kama hauna kazi na hauna mtaji what can you do?
Hebu tusaidie hawa vijana, hali yao ya kimaisha ni mbaya, kelele kwenye mitandao ya kijamii haitaisha. We have to find a solution.
Serikali itafuta namna ya ku-empower hawa vijana before they become a political threat kwenye jamii yetu. They deserve a better future. Mtu anawezaje kumaliza Cambridge na Masters yake nzuri na anahangaika mtaani? Inasikitisha sana.
Let's find a workable solutions, kwani serikali haiwenzi anzisha programs kubwa za kilimo na zikawapa graduates maeneo ya kulima strategic food products hata for export and industrial raw materials? Mchina anataka muhogo wa kutosha, kuna Chia seeds, kuna kokoa, mazao kibao, kwanini serikali isianzishe mashamba makubwa hawa vijana wape kazi kama viwanda mambo yanaenda taratibu?
Ni ombi tu. Tusijifikirie sisi tulio maofisini. Hawa vijana wasiposaidia leo, kesho watakuwa watumwa kwenye nchi yao wenyewe.
Mungu ibariki Tanzania.