measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Jamani mwaka huu nina balaa tupu! dont know what to do! ni hivi: Kiukweli nina demu wangu mzuuuri tu kimuonekano(appearance) ila kila nikikutana nae kwenye kale kamchezo huwa naboeka kinoma!! mzigo wake huwa unatoa harufu kinoma!
mara ya kwanza kukutana nae nilifikiri maybe ni uchafu wake wa kawaida na endapo akijipiga mausafi mambo yatakuwa mazuri! lakini mambo kila siku muda unavyokwenda harufu ni ile ile na kabla ya ku-sex huwa naenda nae bafuni kuoga. lakini 2kishaingia kwenye game mambo yanaharibika mpaka mwenyew huwa nakosa hta hamu ya kuendelea na game! nshafikiria nim2pe kule lakini kiukweli nampenda sana na yeye ananipenda sana!!
wadau naombeni msaada kuhusu jambo hili! je huwa linasababishwa na nini? na ipi ni tiba?
pole sana! Nadhani ningeuliza maswali kadhaa, je kuna uchafu wowote unatoka ama ni ahrufu tu? kama kuna uchafu una rangi gani? nadhani ni vyema kwenda kwa daktari wa kina mama,meaning gynaecologist atakayeweza kumfanyia speculum examination na kubaini tatizo na kuwapa dawa, hapa nashauri since mpo kwenye mahusiano ni vyema wote wawili mkatumia dawa, kuanza pamoja na kumaliza pamoja na kipindi cha kutumia dawa hamtakiwi kufanya tendo la ndoa kama inabidi mfanye hivyo basi ni lazima kutumia condom. akaangaliwe kwanza. am sure aakayemuona na kufanya speculum examination atabaini tatizo na kuwapatia dawa