BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,245
Habarini wakuu popote mlipo.
Tukiachana na urembo walionao wanawake hasa wa kisasa kutokana na teknolojia na mambo mengine lakini kuna vitu vingine ambavyo unaweza kukutana navyo na ukaona kuwa urembo sio kitu ila kitu ni ile mali aliyonayo mrembo husika.
Twende kwenye mada sasa..
Ni kwamba ilikuwa mwaka 2010 nilipokutana na mtoto mrembo ambaye alifanikiwa kuuteka moyo wangu kwa kiasi kikubwa na kusababisha nianze kutangaza nia kwa kasi ya ajabu.
Miezi 3 baadae baada ya mgomo baridi nikafanikiwa kulipata hilo jimbo.
Kwa kweli nilifurahi sana na kujiona ni wa pekee katika uso wa hii dunia.
Tukapanga mikakati ya kufunga hadi pingu za maisha.
Sasa siku ya kwanza kula tunda nilisikia harufu kali na nzito sana ikiambatana na vitu vyeupe vikitoka sehemu zake za G spot. Nikamuuliza baby vp mbona hivi akaniambia mi kawaida wala usijali yataisha.
Lakini wakuu huyu mtoto mpaka leo bado ana tatizo hili na mm nimempenda toka moyoni na ninampango wa kumuoa kwa sababu anatabia njema na ndugu zangu wamemkubali.
Naombeni ushauri kama kuna uwezekano wa kupata tiba au hata njia za asili ili mke wangu huyu mtarajiwa aweze kupona na mm niweze kufurahia tunda lake vizuri.
Natanguliza shukrani.
Tukiachana na urembo walionao wanawake hasa wa kisasa kutokana na teknolojia na mambo mengine lakini kuna vitu vingine ambavyo unaweza kukutana navyo na ukaona kuwa urembo sio kitu ila kitu ni ile mali aliyonayo mrembo husika.
Twende kwenye mada sasa..
Ni kwamba ilikuwa mwaka 2010 nilipokutana na mtoto mrembo ambaye alifanikiwa kuuteka moyo wangu kwa kiasi kikubwa na kusababisha nianze kutangaza nia kwa kasi ya ajabu.
Miezi 3 baadae baada ya mgomo baridi nikafanikiwa kulipata hilo jimbo.
Kwa kweli nilifurahi sana na kujiona ni wa pekee katika uso wa hii dunia.
Tukapanga mikakati ya kufunga hadi pingu za maisha.
Sasa siku ya kwanza kula tunda nilisikia harufu kali na nzito sana ikiambatana na vitu vyeupe vikitoka sehemu zake za G spot. Nikamuuliza baby vp mbona hivi akaniambia mi kawaida wala usijali yataisha.
Lakini wakuu huyu mtoto mpaka leo bado ana tatizo hili na mm nimempenda toka moyoni na ninampango wa kumuoa kwa sababu anatabia njema na ndugu zangu wamemkubali.
Naombeni ushauri kama kuna uwezekano wa kupata tiba au hata njia za asili ili mke wangu huyu mtarajiwa aweze kupona na mm niweze kufurahia tunda lake vizuri.
Natanguliza shukrani.