Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Mkuu body maana kuna usemi kuwa za kuambiwa changanya na zakoWangu sijui nani alimfundisha hii mbinu
Nikamwambia usile milele na wala sikumsemesha.
Nashangaa sijui ilikuwaje nikamkuta anapakua.
Mtu akikataa kula aache tu sababu anaweka tumboni kwake.
Halafu kuzira inaweza kuwa chanzo cha tatizo badala ya kutatua tatizo.
Jamaa hebu ongea na mkeo nadhani ana wivu au kuna vimaneno vimeshasemwa huko pembeni.