Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,509
Baadhi ya wifi zetu wanaroho mbaya sana, huwa wanatafuta visa ili mradi ndugu wa upande wa Mume waonekane wabaya, wengi huwa hawapendi ndugu wa mume wanapenda ndugu zao.
MKUU ktk famili lazima mjifuze kuvumilia kila mmoja avumilie mapungufu ya wagen wanaotembelea labda yawe yamezidi kiwango mt Amékuja kwako na baada ya wk ataondoka vip unagombana nae na nimt wakupita tu kesho kaja. Mama wk mt anagomba mamayako hivi mamayako hivi nikweli kuna wanawake vimeo na mme piaI am married and I think I have moral qualification kuliongelea hili.
Kama ndoa yako ni ya kikristo, ushauri wangu ni;
- Msikilize mkeo na umpe moral support, amini usiamini, wake zetu wanakabiliana na unyanyapaa asili mwingi sana kutoka kwa ndugu zetu. Nifafanue kidogo, kiasili, mke huonekana kama mgeni kwake na hili muda mwingine huwakera sana regardless ya mchango wake kwenye familia
- Kwa ufupi sana, not sure if am too bias or not, nafikiri mkeo yupo sahihi kuwa frustrated. Wewe umeoa na lazima ndugu zako wawe na mipaka ... Kwa cheo, kwako ukitoka wewe ni yeye, ni lazima uwaaminishe ndugu zako hilo, hiyo ndio sheria ya NDOA
- Jitathmini kwa kina, na kama mkeo anakuheshimu then mpende sana
(Ni mtazamo binafsi)
Mkeo anakuchukuliaje wewe unapoongea naye? Serious au Nale nale? Nini mtizamo wake juu ya ndugu zako? Tatizo linaweza kuwa wewe,ndugu zako wanapokuja nini nafasi ya mkeo katika maamuzi, je unamshirikisha mke wako katika maamuzi yote unapotaka kufanya jambo lolote kwa ndugu zako? Mathalani ujio wa ndugu zako, mke anajua kabla? Misaada kwa ndugu zako inapitia kwa mkeo?.Nianze moja kwa moja kwenye tatizo, nimekuwa nikiumizwa kwa kiasi kikubwa na hali hii. Mke anakuwa na visa au sababu ndogondogo za kuwa na ugomvi na ndugu zangu mara wanapotutembelea.
Hali hii imenivuruga na kunikera sana, nilipo jaribu kuongea na mke anakuja juu na kujibu hovyo, nawaza nitoe dawa gani hapa !!
Inakera sana hali hii.
/QUOTE]
Inategemea mzee ingawa umeshauri kama mwanaume wa kichaga maana ndo wamezoea kumpa mwanamke ukuu....hujataka kabisa kuzungumzia madhaifu ya mkewe ,ukiwa na akili hiyo ni rhs sana kutelekeza ndugu zako kisa mwanamke....kama kuna ugomvi mara nyingi kuna udhaifu pande mbili..mke ana shida na ndugu wana shida..I am married and I think I have moral qualification kuliongelea hili.
Kama ndoa yako ni ya kikristo, ushauri wangu ni;
- Msikilize mkeo na umpe moral support, amini usiamini, wake zetu wanakabiliana na unyanyapaa asili mwingi sana kutoka kwa ndugu zetu. Nifafanue kidogo, kiasili, mke huonekana kama mgeni kwake na hili muda mwingine huwakera sana regardless ya mchango wake kwenye familia
- Kwa ufupi sana, not sure if am too bias or not, nafikiri mkeo yupo sahihi kuwa frustrated. Wewe umeoa na lazima ndugu zako wawe na mipaka ... Kwa cheo, kwako ukitoka wewe ni yeye, ni lazima uwaaminishe ndugu zako hilo, hiyo ndio sheria ya NDOA
- Jitathmini kwa kina, na kama mkeo anakuheshimu then mpende sana
(Ni mtazamo binafsi)
Mwanamke anapigwa kwa upande wa kanga
Ahsante sana kwa busaraI am married and I think I have moral qualification kuliongelea hili.
Kama ndoa yako ni ya kikristo, ushauri wangu ni;
- Msikilize mkeo na umpe moral support, amini usiamini, wake zetu wanakabiliana na unyanyapaa asili mwingi sana kutoka kwa ndugu zetu. Nifafanue kidogo, kiasili, mke huonekana kama mgeni kwake na hili muda mwingine huwakera sana regardless ya mchango wake kwenye familia
- Kwa ufupi sana, not sure if am too bias or not, nafikiri mkeo yupo sahihi kuwa frustrated. Wewe umeoa na lazima ndugu zako wawe na mipaka ... Kwa cheo, kwako ukitoka wewe ni yeye, ni lazima uwaaminishe ndugu zako hilo, hiyo ndio sheria ya NDOA
- Jitathmini kwa kina, na kama mkeo anakuheshimu then mpende sana
(Ni mtazamo binafsi)
Pole sana rafiki. Hizi tabia zipo na mwanaume ukiwa lege lege kama chapati za maji utaishia kulalama kila siku.
Sie wakorofi huo upuuzi wa kale ukiuleta tunakuadabisha vzr tu! Kwanza: unapata maonyo 3
1. Kwa mdomo
2. Unawekwa kati na kikao cha familia plus washenga
3. Unarudishwa home ukajifunze adabu. Ukikidhi vigezo vya adabu kwa viwango vya juu kabisa ndo unarudishwa. Ukishindwa, basi kaa huko huko!!!
Maisha yenyewe ni mafupi, halafu uje unipe stress, hee! Kazini stress, home stresss badala ya faraja, what the hell!
Mke nitakayemuoa ajipange vzr. Nitamheshimu sana na kumtunza kwa upendo, ila akijifanya kugeuka na kuwa nguruwe muoga tope sitasita nami kugeuka na kuwa chui mfunza tabia!!!
NB: ukichagua vizuri, hutojuta!
Inategemea mzee ingawa umeshauri kama mwanaume wa kichaga maana ndo wamezoea kumpa mwanamke ukuu....hujataka kabisa kuzungumzia madhaifu ya mkewe ,ukiwa na akili hiyo ni rhs sana kutelekeza ndugu zako kisa mwanamke....kama kuna ugomvi mara nyingi kuna udhaifu pande mbili..mke ana shida na ndugu wana shida..
like zisizo na idadi....I am married and I think I have moral qualification kuliongelea hili.
Kama ndoa yako ni ya kikristo, ushauri wangu ni;
- Msikilize mkeo na umpe moral support, amini usiamini, wake zetu wanakabiliana na unyanyapaa asili mwingi sana kutoka kwa ndugu zetu. Nifafanue kidogo, kiasili, mke huonekana kama mgeni kwake na hili muda mwingine huwakera sana regardless ya mchango wake kwenye familia
- Kwa ufupi sana, not sure if am too bias or not, nafikiri mkeo yupo sahihi kuwa frustrated. Wewe umeoa na lazima ndugu zako wawe na mipaka ... Kwa cheo, kwako ukitoka wewe ni yeye, ni lazima uwaaminishe ndugu zako hilo, hiyo ndio sheria ya NDOA
- Jitathmini kwa kina, na kama mkeo anakuheshimu then mpende sana
(Ni mtazamo binafsi)
Wangu sijui nani alimfundisha hii mbinuKuna wanaume wajeuri huwafanyii Sanaa hizo. Akisha jua mke ndiye mwenye visa kwanza anaacha kula vyakula vyote si cha mchana wala cha usiku.
Mke mwenyewe atapiga magoti
Sure hii kitu ilinitokeaI am married and I think I have moral qualification kuliongelea hili.
Kama ndoa yako ni ya kikristo, ushauri wangu ni;
- Msikilize mkeo na umpe moral support, amini usiamini, wake zetu wanakabiliana na unyanyapaa asili mwingi sana kutoka kwa ndugu zetu. Nifafanue kidogo, kiasili, mke huonekana kama mgeni kwake na hili muda mwingine huwakera sana regardless ya mchango wake kwenye familia
- Kwa ufupi sana, not sure if am too bias or not, nafikiri mkeo yupo sahihi kuwa frustrated. Wewe umeoa na lazima ndugu zako wawe na mipaka ... Kwa cheo, kwako ukitoka wewe ni yeye, ni lazima uwaaminishe ndugu zako hilo, hiyo ndio sheria ya NDOA
- Jitathmini kwa kina, na kama mkeo anakuheshimu then mpende sana
(Ni mtazamo binafsi)