Fahamu zaidi kuhusu la ugonjwa wa Vitiligo na tiba yake

Naomba msaada tafadhari nina rafiki yangu mpenzi ameshambuliwa karibu miaka 15 sasa. Please.
Huu ugonjwa hauna dawa
Halafu hauna madhara kiafya maana hauumi wala kuwasha isippkuwa huharibu muonekano wa ngozi
Hivyo dawa ni kujikubali tu
 
Kama unadhani mimi nafanya biashara ya kuuza dawa, kaa na ugonjwa wako. Unadhani watu niliowaandikia hiyo dawa wakapona walinipa hata shilling moja?

Huna haja ya kuniita tapeli. Ugonjwa wako, halafu unanitukana mimi niliykwisha kupona tena kwa sh. thelathini elf tu. Watu nakutana nao kwenye mikutano na vyombo vya usafiri nawaandikia dawa siwafahamu hawanifahamu. Halafu leo eti kune pm unaona nitakutapeli. Pole .


Kwahiyo kwenye mikutano na vyombo vya usafiri unawaandikia hiyo dawa right away. Lakini hapa JF umeshindwa kabisa kuiandika hiyo dawa, eeh?

Hahahaa umeona ujinga wako hapo mkuu? Bado sana wewe, rudi tena class ufuzu vizuri. Labda uwapate wajinga wajinga. Lol

Mimi sikukuuliza kwamba ulipona kwa BEI gani. Ni nini motive yako ku-mention hiyo amount?

Wenye akili weshajiongeza vyema.

Mimi sina tatizo hilo, ila nimesema kwa niaba ya wahitaji. Unaishia kujitapa tu ooh "mimi nilipona, dawa ipo". Dawa yenyewe huisemi, ndo nini sasa? Hovyoooo!

Nikukumbushe kitu... Jf ni darasa tosha, watu wengi wanasoma humu na kujifunza mengi yenye manufaa. Watu wanaweka mambo hadharani for all readers kunufaika ama kujifunza... hii ndo desturi nzuri sana iliyopo hapa JF. I am sure nawe pia tangu uwe member humu, either umeuliza or umesoma na kujifunza mengi ambayo hukuwa aware of, sababu members wanasaidiana kwa kuchangia hadharani.

Ukiliweka jambo publicly hapa JF, linakuwa msaada hata kwa vizazi vijavyo if Jf itakuwa bado ipo. Remember you are a victim of vitiligo, the genetic disorder. As such, mjukuu or kitukuu wako anaweza pia kupata vitiligo then akapitia Jf na kupata tiba uliyoandika wewe.

Otherwise, endelea kuwaandikia bure wahitaji hiyo dawa kwenye mikutano na vyombo vya usafiri, ila hapa JF mpaka mtu akufuate PM. Bullshitt!!!

-Kaveli-
 
You dont force me to do what I dont want to do. Hata mimi sikupata hiyo taarifa kwenye public. I am free to share this information in anyway, anyhow, anytime, to anyone and anywhere I see it is appropriate. Ninajua namna watu wanateseka. If I share with my safari mates, or anyone I see, that is none of your business and you have no authority over that. Achana na mimi, endelea na ugonjwa wako. Kama wewe huumwi kinakusumbua nini? Leave me alone na usinisumbue na ujinga wa kupenda malumbano hata pasipotakikana.

I AM NOT GOING TO DO AS YOU WISH!. PERIOD!

Kwahiyo kwenye mikutano na vyombo vya usafiri unawaandikia hiyo dawa right away. Lakini hapa JF umeshindwa kabisa kuiandika hiyo dawa, eeh?

Hahahaa umeona ujinga wako hapo mkuu? Bado sana wewe, rudi tena class ufuzu vizuri. Labda uwapate wajinga wajinga. Lol

Mimi sikukuuliza kwamba ulipona kwa BEI gani. Ni nini motive yako ku-mention hiyo amount?

Wenye akili weshajiongeza vyema.

Mimi sina tatizo hilo, ila nimesema kwa niaba ya wahitaji. Unaishia kujitapa tu ooh "mimi nilipona, dawa ipo". Dawa yenyewe huisemi, ndo nini sasa? Hovyoooo!

Nikukumbushe kitu... Jf ni darasa tosha, watu wengi wanasoma humu na kujifunza mengi yenye manufaa. Watu wanaweka mambo hadharani for all readers kunufaika ama kujifunza... hii ndo desturi nzuri sana iliyopo hapa JF. I am sure nawe pia tangu uwe member humu, either umeuliza or umesoma na kujifunza mengi ambayo hukuwa aware of, sababu members wanasaidiana kwa kuchangia hadharani.

Ukiliweka jambo publicly hapa JF, linakuwa msaada hata kwa vizazi vijavyo if Jf itakuwa bado ipo. Remember you are a victim of vitiligo, the genetic disorder. As such, mjukuu or kitukuu wako anaweza pia kupata vitiligo then akapitia Jf na kupata tiba uliyoandika wewe.

Otherwise, endelea kuwaandikia bure wahitaji hiyo dawa kwenye mikutano na vyombo vya usafiri, ila hapa JF mpaka mtu akufuate PM. Bullshitt!!!

-Kaveli-
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ninaomba nipingane na wewe. Mimi nilikuwa na hili tatizo na nilipona kabisa. Anayetaka dawa ani pm nimwelekeze. Ni miaka mingi imepita lakini ninaimani kwa Mkono wa Mungu, bado ile dawa ipo.
Kwa nini usiiweke apa wafaidike na wengine?
 
Mkuu kwa nini usiweke hadharani ili uzi huu ukawasaidia wengi wenye tatizo hili hata kwa miaka mingi ijayo? Pole sana Mkuu.

Ninaomba nipingane na wewe. Mimi nilikuwa na hili tatizo na nilipona kabisa. Anayetaka dawa ani pm nimwelekeze. Ni miaka mingi imepita lakini ninaimani kwa Mkono wa Mungu, bado ile dawa ipo.
 
You dont force me to do what I dont want to do. Hata mimi sikupata hiyo taarifa kwenye public. I am free to share this information in anyway, anyhow, anytime, to anyone and anywhere I see it is appropriate. Ninajua namna watu wanateseka. If I share with my safari mates, or anyone I see, that is none of your business and you have no authority over that. Achana na mimi, endelea na ugonjwa wako. Kama wewe huumwi kinakusumbua nini? Leave me alone na usinisumbue na ujinga wa kupenda malumbano hata pasipotakikana.

I AM NOT GOING TO DO AS YOU WISH!. PERIOD!
Jamii is a forum where people dare to talk openly... Kwa issue za namna hii eti nicheck pm.!!! No Hata kama ni Mimi siitaki dawa yako kabisa...
 
You dont force me to do what I dont want to do. Hata mimi sikupata hiyo taarifa kwenye public. I am free to share this information in anyway, anyhow, anytime, to anyone and anywhere I see it is appropriate. Ninajua namna watu wanateseka. If I share with my safari mates, or anyone I see, that is none of your business and you have no authority over that. Achana na mimi, endelea na ugonjwa wako. Kama wewe huumwi kinakusumbua nini? Leave me alone na usinisumbue na ujinga wa kupenda malumbano hata pasipotakikana.

I AM NOT GOING TO DO AS YOU WISH!. PERIOD!


Eti unajua namna watu wanavyoteseka... Hahaha hiyo 'huruma' inatoka wapi sasa wakati hutaki kushea hiyo the so called 'tiba' ya vitiligo. Lol. We mzee ni liongo sana.

Tangu lini mtu akakataa kushea genuine dawa iliyomponesha really at cheapest cost as you claim?

We jamaa ni muongo tu, huna dawa. Unataka watu wakufuate huko PM uwapulule hako kaelfu 30 eeh. Hahaha ama kweli awamu hii njaa kali.

Fact: mtu mwenye nia genuine ya kusaidia watu (tena for this case ni wahanga wenzio) hufanya mambo publicly. Even with a price tag on it, but it goes public. Lakini mambo kufanyika huko sirini (pm) ni dalili ya usanii na utapeli. Mpaka wakufuate PM, so unataka kuficha nini? Unaepuka nini kutoishea hapa openly, and what do you want to achieve huko PM?

Unaposema eti unajua watu wanavyoteseka na unajitapa kuwa eti dawa unayo ila you won't share it publicly bcoz wewe hukuipata publicly, hujioni jinsi ulivyo msanii?

Wewe kama ni muuzaji wa dawa kuwa muwazi tu and convince people with details za hiyo dawa yako ili sasa upate wateja wa kukufuata huko PM.

Unune or ususe or ucheke, reading btn your lines... wewe huna hiyo dawa bali ni msanii tu. I bet you are just a liar!

And possibly hujawahi hata kupata hilo tatizo la vitiligo, ni msanii tu unayetaka kuwapiga wahanga wa tatizo hilo. Naona umeisema na amount kijanja... elfu 30 tu . Lol

I am not forcing you to do what you don't want to do, rather am just analyzing that Wew ni msanii, period! You are not compelled by anyone here.

Now tell me, so na hao unaowaandikia hiyo dawa huko PM... hawatakiwi kuidiclose hiyo dawa publicy kwa vile umewapea PM?

Ama kweli duniani... wonders shall never end!

Mark my words: Unazeeka vibaya mkuu.

-Kaveli-
 
Jamii is a forum where people dare to talk openly... Kwa issue za namna hii eti nicheck pm.!!! No Hata kama ni Mimi siitaki dawa yako kabisa...

Tapeli tu huyo, hana lolote. Njaa kali awamu hii mkuu.

Either yeye mwenyewe anadai pesa or anawalink watu kwa tapeli mwenzie.

-Kaveli-
 
Huu ugonjwa hauna dawa
Halafu hauna madhara kiafya maana hauumi wala kuwasha isippkuwa huharibu muonekano wa ngozi
Hivyo dawa ni kujikubali tu
Nikweli Bitoz hata huyo rafiki yangu nilipomueleza kwamba nimepost hii aliniambia nisijisumbue. Yeye ni nurse tena ana degree ya nursing na mme wake ni Dr. ila kuna watu walisema humu kuwa kuna dawa ndo maana nikahisi kuna tiba mbadala. Thanks.
 
Hello jamiii forum
Kwanza atakae kuambia kuna dawa ya genome modifications ya vitiligo anakudanganya.. ..japokua kuna njia ya kupunguza ama kuondoa white patches hii inahusisha
1.creams ...kwa wale ambao patches zao ni too early creams zinaweza tumika mfano creams zenye corticosteroids eg acetonide japo zina effect kadhaa

2.Skin bleaching. ..hii ni surgery ndogo ya kumodify skin na kuondoa patches

3.skin grafting. ..hii nlifundishwa class ila cdhani practically ka ipo Tanzania cuz inahusisha sugery kubwa ya kupandikiza ngozi...policy ya TZ hakuna kuextract viungo vya wale wanaokufa salama kwaajili ya medical re-use

4.Psoralen photochemotherapy hii ndo most effective of all unatibiwa kwa psoralen

5.melanocyte transplant. ..hii melanocyte stem cells zinapandikizwa upya kwenye stratum basale yako (Hii ni very costful)

My take:ww mwenye tatizo muone dermatologist au daktari yoyote atakushauri njia nzuri na effective kutokana na intensiveness ya tatizo lako
Pole saana mkuu
 
Nikweli Bitoz hata huyo rafiki yangu nilipomueleza kwamba nimepost hii aliniambia nisijisumbue. Yeye ni nurse tena ana degree ya nursing na mme wake ni Dr. ila kuna watu walisema humu kuwa kuna dawa ndo maana nikahisi kuna tiba mbadala. Thanks.
Either wanayo kweli hiyo dawa mbadala maana hatuwezi kujuwa or ni matapeli

Kumbuka hadi watu mabilionea km Michael Jackson uliwashinda
 
Either wanayo kweli hiyo dawa mbadala maana hatuwezi kujuwa or ni matapeli

Kumbuka hadi watu mabilionea km Michael Jackson uliwashinda
Ni kweli mpaka Michael akaishia kutumia madawa ya kujipaka na kutumia dawa za kulevya ili apoteze mawazo. Alikosa self esteem yule hasa baba yake alimfanya kitu kibaya. Nilisoma mahali kuwa alimhasi.
 
Mkuu kwa nini usiweke hadharani ili uzi huu ukawasaidia wengi wenye tatizo hili hata kwa miaka mingi ijayo? Pole sana Mkuu.

Ahsante mtkuu. Kwa ushauri wako. Siyo wale wanaohamaki nakuanza kuniita tapeli as if ninavuta fedha kutokamifukoni mwao au mimi ndiye ninauza ama kutegneneza hizo dawa.
 
Kuna imani nyingi Potofu juu ya ugonjwa huu....wengine wanasema eti umekula/kulishwa nyama ya Binadamu na Mchuzi wake kudondokea kwenye ngozi.........Ukweli ni ukosefu wa aina fulani ya Protini mwilini na kusababisha kutokutengenezwa kwa kitu kinachoitwa Skin pigment........Ushauri jitahidi kula Nyama nyekundu kwa wingi kiasi isiyochomwa sana.... angalizo Nyama ikaguliwe/kupimwa kuona kama haina madhara, hakika utapona......
 
Habari zenu!!

Naomba kupatiwa msaada wa tiba ya ugonjwa wa vitiligo.

Mwenye uzoefu wa ugonjwa huu, atoe mawazo yake anisaidie!!
 
Hello jamiii forum
Kwanza atakae kuambia kuna dawa ya genome modifications ya vitiligo anakudanganya.. ..japokua kuna njia ya kupunguza ama kuondoa white patches hii inahusisha
1.creams ...kwa wale ambao patches zao ni too early creams zinaweza tumika mfano creams zenye corticosteroids eg acetonide japo zina effect kadhaa

2.Skin bleaching. ..hii ni surgery ndogo ya kumodify skin na kuondoa patches

3.skin grafting. ..hii nlifundishwa class ila cdhani practically ka ipo Tanzania cuz inahusisha sugery kubwa ya kupandikiza ngozi...policy ya TZ hakuna kuextract viungo vya wale wanaokufa salama kwaajili ya medical re-use

4.Psoralen photochemotherapy hii ndo most effective of all unatibiwa kwa psoralen

5.melanocyte transplant. ..hii melanocyte stem cells zinapandikizwa upya kwenye stratum basale yako (Hii ni very costful)

My take:ww mwenye tatizo muone dermatologist au daktari yoyote atakushauri njia nzuri na effective kutokana na intensiveness ya tatizo lako
Pole saana mkuu
Habari ndugu mm nimeanza shambuliwa Na vitiligo hasa mikononi cream gan itanifa?
 
HOW DO I TREAT VITILIGO USING HERBS?

Vitiligo is a condition in which the skin loses pigment, thereby resulting in large white patches that expand over time. The condition is more noticeable in people with darker skin, and although it is not a serious health problem, it can be stressful and affect your self-confidence. There is no cure for vitiligo; treatment revolves around slowing its spread and helping the skin return some of the lost pigment. Some herbs and supplements may be helpful in your treatment, however, you should first consult your doctor.

Step 1


Visit a traditional Chinese herbalist who may offer psoralen, which is a chemical compound derived from herbs that may help make rejuvenate the affected skin with the application of UV light.




Step 2

Take ginkgo biloba, a tree leaf that has been used for centuries to treat circulatory problems and enhance memory. Ginkgo may be helpful in restoring pigmentation to skin affected by vitiligo. According to Mayo Clinic, ginkgo biloba showed some success in a small study, but sufficient evidence is lacking at this time. You should consult your doctor first before using it.

Step 3


Ask your doctor about using phenylalanine, an essential fatty acid that may help improve the effectiveness of UVA radiation for people with vitiligo. According to the University of Maryland Medical Center, preliminary studies have found that oral and topical administrations of phenylalanine showed some effectiveness in restoring pigmentation, but more research is still needed.




Vitiligo Herb was developed several decades ago and ever since it has proficiently helped thousands of

vitiligo victims
in a thriving and productive manner. Furthermore, with the passage of time this product has

become even more effective and result oriented by means of continuous research work and the feedback retrieved from the people suffering with Vitiligo.

Consequently, Vitiligo Herb is a formulation that is an outcome of years and years of experimentation and

continuous upgrading that arrogantly holds the confidence of its huge number of beneficiaries. Nevertheless, we have also put this product to latest laboratory testing and clinical trials that has auxiliary supported our stance and lavish experience that it works in re-pigmentation of skin.

Vitiligo Herb
is tested and certified by PCSIR against the claim of pure herbal ingredients and any harm or side effects to human skin.

There is a lot to tell about the features of Vitiligo Herb but we would appraise our product in following turn of phrases:

  • Pure Herbal/Natural Treatment for Vitiligo/Leucoderma.
  • Guaranteed fast results with permanent re-pigmentation.
  • National laboratory certified product tested against the claim of 100% Herbal Ingredients and any side effects to human skin.
  • No irritation and no side effects guaranteed.
  • Easy topical treatment.

Instructions for use


Vitiligo Herb
is simple to use topical application. Please follow below instructions for use:

Wash affected areas of your skin with plain water and dry it with towel. Apply Vitiligo Herb softly on affected area and massage till fully absorbed. It should remain on your skin for at least 8-10 hours.

If you have to wash application before 8 hours for any reason, you should re-apply oil for remaining period. For convenient application, use Vitiligo Herb before going to bed in the same hour of every night.

Vitiligo Herbs goes thick in winter below 15C temperature. In such case, place the bottle in warm water for some time and it will be back to normal form.
Shake well before use.

Ingredients


Vitiligo Herb
is pure herbal product and we use finest herbs in the production. Following are few herbs used in Vitiligo Herb.

1-
Coconut oil

2-
Babchi

3-
Black cumin

4-
Barberry Root

1 -Coconut oil

Coconut oil is excellent massage oil for the skin as well. It acts as an effective moisturizer on all types of skins including dry skin. The benefit of coconut oil on the skin is comparable to that of mineral oil. Further,

unlike mineral oil, there is no chance of having any adverse side effects on the skin with the application of coconut oil. Coconut oil therefore is a safe solution for preventing dryness and flaking of skin. It also delays

wrinkles, and sagging of skin, which normally become prominent with age. Coconut oil also helps in treating various skin problems including psoriasis, dermatitis, eczema and other skin infections. Therefore coconut oil forms the basic ingredient of various body care products such as soaps, lotions, creams, etc. used for skin care.

Coconut oil will absorb easily, keep the skin soft, and yet without feeling greasy. It is not like other oils used to soften rough, dry skin. It will help to reduce chronic skin inflammation within days and be soothing and healing to wounds, blood blisters and rashes.

Coconut oil helps in preventing premature aging and degenerative diseases due to its antioxidant properties. Coconut oil is often preferred by athletes and body builders and by those who are dieting. The reason behind

this being that coconut oil contains lesser calories than other oils, its fat content is easily converted into energy and it does not lead to accumulation of fat in the heart and arteries. Coconut oil helps in boosting energy and endurance, and enhances the performance of athletes.

2- Babchi


Scientific Name
: Psoralea Corylifolia

Babchi is an herb, which is known for its medicinal properties. It is widely and commonly used in treating many diseases by many streams of ancient medicine such as Ayurveda. Homeopathy and Unani medicine.

The botanical name for this particular plant is Psoralea Corylifolia. It is also known by many other names colloquially, depending upon the area where you would find it. In some places it is known as bakuchi and

bakhni. The most amazing thing about this plant is that every part of it is useful. Roots, stems, leaves, seeds and whatever blooms it has, all used to treat a variety of skin problems.

For most part, all the various parts of the plant and powdered and used to mix with other medicines to create complete treatments for skin diseases such as Leucoderma, skin rashes, infections. The plant grown wild in many tropical countries and is not difficult to cultivate either. It is also considered useful by ayurveda in the cure and care of skin cancer.

Scientifically untested yet by modern methods. It is widely believed that babchi had various other health benefits for skin that are undiscovered and unexplored. But natural sciences such as the ones mentioned above swear by its therapeutic properties.

3- Black cumin


Scientific Name
: Nigella Sativa


Black cumin seeds have been used for centuries in the Middle East, Mediterranean, and India to treat a variety of ailments, and have been adopted for homeopathic use in Europe and other nations as well. Both the

seeds and potent extracts can be found for sale in natural food stores, and doctors who practice complementary alternative medicine may prescribe then for a wide variety of conditions. The unique nutritional composition of black cumin seeds, which includes numerous essential fatty acids, appears to support the

immune system, improve the skin, help with respiratory ailments, and address digestive conditions.
Nigella sativa is the scientific name for the plant on which black cumin seeds grow, and it is a member of the buttercup family. Black cumin seeds are very dark, thin, and crescent shaped when whole. They are available

for cooking use in many Middle Eastern and Indian supply stores, but seeds designated for cooking may not be as potent or as pure as seeds intended for medicinal use. In some regional cuisines, they are also used in cooking, as they add a unique nutty flavor to food and appear to have health benefits.

When ingested, black cumin seeds and extracts can be used for a number of conditions. They have been used for centuries to address digestive problems including stomach pain and flatulence. Black cumin seeds also have a long history in the natural treatment of asthma and other respiratory conditions. Compounds from the seeds appear to have antimicrobial properties, and are sometimes used to treat urinary tract infections.

Oil from black cumin seeds can be used topically to treat dry skin, eczema, and other skin issues. In addition, black cumin seeds are sometimes used in beauty regimens to strengthen hair and nails, as well as making them glossier.

In 1996, the United States Food and Drug Administration approved the use of a medicine incorporating an extract of black cumin seeds for immune system support. Several studies had shown that this extract could assist individuals with autoimmune disorders, and could possibly help to fight cancer as well. Naturopaths

sometimes recommend regular doses of black cumin seeds to patients with weakened immune systems, as the whole seeds have been shown to boost the immune system. Pharmacological studies on compounds from the seeds show that they boost the production of bone marrow, natural interferon, and immune cells, helping to fight off diseases.

4- Barberry Root


Scientific Name
: Berberis Vulgaris, Berberidaceae Family


Barberry is rich natural source of berberine. Berberine is bright yellow and somewhat bitter, and has long been used in traditional medicine for its anti-inflammatory and anti-microbial effects. This well known

antiseptic photochemical, also found in goldenseal and Oregon grape, is used to treat a wide range of infections, ears, eyes, mouth, throat, staph and strep bacteria, each of which can commonly cause bacterial pinkeye.

Other common infections that can effectively be treated by barberry include yeast and bladder infections, and skin disorders, especially those like psoriasis that can benefit from a liver tonic.

Barberry has been used in traditional herbal medicine since early Egyptian times, when it was combined with fennel seed to prevent plague and treat fevers. These traditional herbal uses for inflammation and fever confirm

historically what science has now established in the laboratory: Compounds in these plants inhibit the COX-2 enzyme. Berberine-containing herbs thus offer significant medical benefits across the spectrum of diseases.
boxbottom.jpg
boxtop.jpg
over40kseal.jpg
patientpics.jpg

IMG-20150411-WA0013.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom