Tatizo la Ugonjwa wa Kiharusi kwa Waandishi wa TV/Redio Kagera

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,020
691
Wataalamu wa afya wasaidie waandishi hawa na tatizo la kuanguka (kiharusi)

Alianza Bw Raymond Owaman wa Star TV na RFA ambaye hadi sasa amelazwa na jana alianguka Ben Rwegasira wa TBC,hadi sasa yupo hospitali ya mkoa kagera hajitambui

Wote ni wa Kagera na walikuwa marafiki

Wenye kujua tatizo kama hilo asaidie maoni.
 
Usije anza hisi ni uchawi, Kiharusi kina weza sababishwa na kisukari,blood clot , pamoja na matatizo ya moyo, kifupi mahisiano ya matatizo mapigo ya moyo .
 
Back
Top Bottom