jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Katika hali ya kawaida tu huwezi kuzuia jambo fulani lisifanywe na wale eti ni baya ilhali wewe ndiwe mshirika mkuu kwalo.
Mbowe na Zitto ni vinara wa mahubiri demokrasia na kwalo ni wazungumzaji taralia mithili ya tarumbeta japokuwa na kwa mshangao wao ki uhalisia si wanademokrasia.
Unaitaje wengine dikteta wakati nawe ndiye.
Mbowe ni dikteta mkuu ndani ya Nchi hii anayeongoza taasisi huru ki dikteta.
Miaka zaidi ya 20 umeongoza taasisi kwa mbinu zilezile na hata kama ulibadiri na zilifeli hakika haipo sababu ya yeye kubaki hapo.
Kuminywa na kukimbilia ng'ambo ni sababu tosha ya kuwaelewa madikteta ya maslahi-vyama kwamba hawapo na wafuasi wao.
KIONGOZI SHUPAVU WA UPINZANI NI YULE AWAYE TAYARI KWA GHARAMA YEYOTE KUPINZANA NA WAFUASI WAKE KWENYE ENEO LA UPINZANI NA SI UPINZANI WA KWENYE TWITTER.
Dikteta Mbowe apishe damu mpya kwa sababu hana tena kipya.
Mbowe na Zitto ni vinara wa mahubiri demokrasia na kwalo ni wazungumzaji taralia mithili ya tarumbeta japokuwa na kwa mshangao wao ki uhalisia si wanademokrasia.
Unaitaje wengine dikteta wakati nawe ndiye.
Mbowe ni dikteta mkuu ndani ya Nchi hii anayeongoza taasisi huru ki dikteta.
Miaka zaidi ya 20 umeongoza taasisi kwa mbinu zilezile na hata kama ulibadiri na zilifeli hakika haipo sababu ya yeye kubaki hapo.
Kuminywa na kukimbilia ng'ambo ni sababu tosha ya kuwaelewa madikteta ya maslahi-vyama kwamba hawapo na wafuasi wao.
KIONGOZI SHUPAVU WA UPINZANI NI YULE AWAYE TAYARI KWA GHARAMA YEYOTE KUPINZANA NA WAFUASI WAKE KWENYE ENEO LA UPINZANI NA SI UPINZANI WA KWENYE TWITTER.
Dikteta Mbowe apishe damu mpya kwa sababu hana tena kipya.