Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,868
- 19,258
Ni kitu cha kushangaza sana kwamba uchumi wa kenya unaendeshwa na mihamala kutoka ulaya inayotokana na kazi za aibu na shuruba toka kwa wakenya wanaoishi huko
Wakenya wengi ulaya ni wasafisha vyoo, waogesha vikongwe vya kizungu, cashiers, tellers, clarks, welfare workers na kazi nyingine za shuruba huko McDonald's, KFC and the likes
Kutokana na Corona kucharaza huko ubeberuni haya ndio matokeo yake, uchumi wa kenya umedondoka
Uvivu wa akili na mwili kusubiri watu wahenyeke Ulaya ili wewe uishi vizuri
Wakenya wengi ulaya ni wasafisha vyoo, waogesha vikongwe vya kizungu, cashiers, tellers, clarks, welfare workers na kazi nyingine za shuruba huko McDonald's, KFC and the likes
Kutokana na Corona kucharaza huko ubeberuni haya ndio matokeo yake, uchumi wa kenya umedondoka
Uvivu wa akili na mwili kusubiri watu wahenyeke Ulaya ili wewe uishi vizuri