Sarius
Member
- Dec 4, 2017
- 45
- 29
Habari wakuu,
Kumekua na tatizo la kutopatikana website ya ETD tangu tarehe 15 mwezi wa 6, imepelekea kukwama kwa safari za watu kwenda nnchi za nje kwa wanaotumia hati za dharura hasa madereva na wajasiliamali.
Tunaomba vyombo husika viangalie njia mbadala ya kuwapatia hati za safari raia ili waendelee na shughuli zao.
Kumekua na tatizo la kutopatikana website ya ETD tangu tarehe 15 mwezi wa 6, imepelekea kukwama kwa safari za watu kwenda nnchi za nje kwa wanaotumia hati za dharura hasa madereva na wajasiliamali.
Tunaomba vyombo husika viangalie njia mbadala ya kuwapatia hati za safari raia ili waendelee na shughuli zao.