Tatizo la simu kuonesha 'internal memory full'

Abuwhythum

JF-Expert Member
Jan 7, 2015
837
494
Nina simu aina ya Samsung Galaxy A30, kila mara inaonesha internal memory full, na inashindwa ku-operate kabisa, hadi ninalazimika kuzima simu na kuiwasha tena ndio kidogo inakuwa na free space.

Ikizingatiwa sijaweka vitu vingi vya kuifanya ijae. Sasa ninashindwa kuelewa iwapo hii simu ni fake au tatizo ni nini? Maana simu ina internal ya 64GB.

MSAADA JAMANI KWA MWENYE USHAURI WA JUU YA NINI NIFANYE ILI KUONDOA TATIZO HILI.
 
Nina simu aina ya Samsung Galaxy A30, kila mara inaonesha internal memory full, na inashindwa ku-operate kabisa, hadi ninalazimika kuzima simu na kuiwasha tena ndio kidogo inakuwa na free space.

Ikizingatiwa sijaweka vitu vingi vya kuifanya ijae. Sasa ninashindwa kuelewa iwapo hii simu ni fake au tatizo ni nini? Maana simu ina internal ya 64GB.

MSAADA JAMANI KWA MWENYE USHAURI WA JUU YA NINI NIFANYE ILI KUONDOA TATIZO HILI.
Nenda setting Kisha tafuta storage Iache sekunde kadhaa itakuonesha stats muhimu za storage yako kutokea hapo utapata mwanga vitu gani vinajaza simu.
 
Nenda setting Kisha tafuta storage Iache sekunde kadhaa itakuonesha stats muhimu za storage yako kutokea hapo utapata mwanga vitu gani vinajaza simu.
Inaonesha others sasa haijulikani hiyo others ni vitu gani
 
Ukiitimazama bila kuchukua hatua.. itazima kabisa..

Kwa haraka nenda settings - Apps- fungua moja moja - clear cache

Sort kwa size uanze na kubwa..
 
Nenda settings then apps chagua zile unazotumia sna
Mfano Instagram I click then then kuna sehemu mbili clear storage na clear caches

Uki clear storage ni sawa kbsa na app ambayo umeidownload then unaanza upya data zote zinafutika

Uki clear app baadhi ya data muhimu aziwezi kufutika ila junk files zote zina kuwa cleared
Caches zinapatikana wapi mkuu kwenye simu..?
 
ukiona others,maana yake apps unazotumia zimekuwa na kitambi.

kama una telegram ni ya kwanza inawezakuwa na mafile makubwa sana ila hujaruhusu yaonekane kwenye gallary.

ya pili whatsapp,nayo ni hivyo.

ya tatu ni snapchart,nayo mnajaza sana mapicha na mavideo linanenepa sana.

hakafu kuna facebook,hii sio sana maana ni ngumu kula gb nzima hata inenepeje.

kagua hizo halafu uone mabdiliko
 
Back
Top Bottom