Tatizo la rangi kwenye digital satellite receiver

Sanja

JF-Expert Member
Nov 7, 2010
499
223
Dishi langu aina ya MEDIACOM MFT-930plus limepoteza rangi lakini picha zinaonekana. Nimejaribu ku search channel upwa lakini rangi haikurudi, sasa sijui ni tatizo la ndani au la. Mwenye uelewa wa haya mavitu anisaidie kabla sijaanza kuzunguka kwa mafundi tafadhari
 
Kati ya reciever na tv umegunduaje kuwa risiva ndo ina shida ya rangi hebu nipe jibu haraka nikusaidie
 
Bonyeza MENU,kisha nenda SYSTEM SETTING au SYSTEM bonyeza OK scroll kwenda chini hadi sehemu ya TV SYSTEM weka iwe AUTO natumai kama sii tatizo la kwenye motherboard itakua tayari kama haita kubali nijibu nikupe njia nyingine.
 
Bonyeza MENU,kisha nenda SYSTEM SETTING au SYSTEM bonyeza OK scroll kwenda chini hadi sehemu ya TV SYSTEM weka iwe AUTO natumai kama sii tatizo la kwenye motherboard itakua tayari kama haita kubali nijibu nikupe njia nyingine.
nimeweka AUTO lakini bado ni black and white, thenks anyway for your concern
 
nimeweka AUTO lakini bado ni black and white, thenks anyway for your concern

Mkuu jaribu ku-select manually PAL (I), hiyo ikishindikana basi jaribu kuangalia CHROMA adjustment that is 'SATURATION' pia na TINT, if no go the most likely culprit is lack of colour burst frequecy (4.43Mz for a PAL I system) which rides nyuma ya Luminance kama reference hili isaidie TV kuchambanua rangi (kumbuka rangi huwa inatumwa carrier yake ikiwa suppressed). Zamani kulikuwepo pot kwenye motherboard ya kufanya adjustment kama rangi zikienda haywire, lakini siku hizi inatumika phase locked loop circuit kufanya hilo na zote zinahitaji hiyo 4.43MHz reference frequecy. Ukifanya niliyo eleza hapo ikashindikana basi Sat receiver yako itakuwa na tatizo hilo la kukosekana kwa colour burst frequency. Good day.
 
Naona model ya receiver yangu haina options hizi, nimejaribu kufuatilia kwa jamaa imeonekana ilitakiwa nitumie button ya 0 ndo inipe hizi options hapa chini. Nashukuru kwa msaada wako kaka
Mkuu jaribu ku-select manually PAL (I), hiyo ikishindikana basi jaribu kuangalia CHROMA adjustment that is 'SATURATION' pia na TINT, if no go the most likely culprit is lack of colour burst frequecy (4.43Mz for a PAL I system) which rides nyuma ya Luminance kama reference hili isaidie TV kuchambanua rangi (kumbuka rangi huwa inatumwa carrier yake ikiwa suppressed). Zamani kulikuwepo pot kwenye motherboard ya kufanya adjustment kama rangi zikienda haywire, lakini siku hizi inatumika phase locked loop circuit kufanya hilo na zote zinahitaji hiyo 4.43MHz reference frequecy. Ukifanya niliyo eleza hapo ikashindikana basi Sat receiver yako itakuwa na tatizo hilo la kukosekana kwa colour burst frequency. Good day.
 
Back
Top Bottom