Aristolicius
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 110
- 38
baada ya ku update simu ya N8 kutokea symbian anna hadi belle imekuwa ikihitaji password kila ninapoiwasha inahitaji password though ukiingiza wrong code up to 5 times inatishia kublock simu ila haiblock,nawezaje kufanya isiombe hiyo password