Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,907
- 4,770
CCM wanavyohandle maoni ya Ndugai, inaonyesha kabisa kwamba hata tukiwa na katiba mpya na katiba ya CCM ikabaki kama ilivyo; bado haratakuwa na demokrasia katika nchi.
Wabunge wetu wataendelea kuwa waoga wa kuisimamia serikali ndani ya Bunge la JMT na nje ya Bunge.
Kwa CCM wengi, wanachama wa kawaida na viongozi, Mungu wao ni Mwenyekiti wao. Na bahati mbaya sana katiba ya CCM inamfanya Rais wa JMT ndio mwenyekiti wa CCM.
Rais wa JMT ni Mkuu wa Nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.
Tatizo la nchi hii kwa sehemu kubwa ni CCM ikichangiwa pakubwa na katiba ya CCM na katiba ya JMT kwa sehemu ndogo sana.
Wabunge wetu wataendelea kuwa waoga wa kuisimamia serikali ndani ya Bunge la JMT na nje ya Bunge.
Kwa CCM wengi, wanachama wa kawaida na viongozi, Mungu wao ni Mwenyekiti wao. Na bahati mbaya sana katiba ya CCM inamfanya Rais wa JMT ndio mwenyekiti wa CCM.
Rais wa JMT ni Mkuu wa Nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu.
Tatizo la nchi hii kwa sehemu kubwa ni CCM ikichangiwa pakubwa na katiba ya CCM na katiba ya JMT kwa sehemu ndogo sana.