Tatizo la Nape ni ubinafsi, chuki na sononeko. Kiongozi wa namna hii hatufai hata kidogo

Mkuu shida kubwa ya NAPE, amesahau kuwa Alienda ikulu akaomba ladhi kabisa, Tena kwa kuita waandishi wa habari, Sasa Leo anasema et hela ilienda wapi, kumbe alikuwa anahujum chin kwa chini?? Mzee wa watu alimsamehe kabisa, Leo anakuja Tena na sarakasi zake, nape, membe, na makamba pamoja na yule kule bandalin ya kichn kunasik watawaeleza tu watz nn kilitokea, as long as tz ipo,
Alikwenda Ikulu kuomba msamaha kwa mambo mengine ambayo hayahusiani kabisa na hii issue.

Mnaoyetea, labda mtupe mahesabu hizo pesa zilitumikaje. Walau tu kwa kutupa bei ya Dreamliner....!!

Awamu ile tuliaminishwa kuwa tunatumia pesa yetu ya ndani sasa hilo deni limetoka wapi? Nape is right.
 
kwa tunaomfahamu Nape na tuliyopata kuyajua machache juu yake hatushangazwi kusikia anayosema ila tunachoshangazwa ni kuchelewa kwako kuzungumzia unafiki wake watanzania wakaujua.

Nape ana chuki na tukio walilofanya lakini kabla lengo halijatimia wakajulikana ila nikiri kusema kwamba ingekuwa nchi zenye sheria kweli kweli basi pengine Nape leo angekuwa simulizi.

Nape kwa kinywa chake mara nyingi amenukuliwa akipongeza na kusifia uongozi wa JPM kwa uthubutu na usimamiaji mzuri wa pesa za serikali, leo kawa mnafiki wa kujiabisha mwenyewe.

Nape ni mtu anayeishi kinafiki na ndio sababu ya kuonekana kituko uongozi uliopita na ataendelea kuonekana hivyo hata kwa wajukuu zake ila sisi tunamuombea kwa sababu hajui atendalo wala afanyalo
kweli nape ana tabia za kujiona yeye ndio mwenyewe
 
Halafu mtegemee maendeleo ?!
Ukweli sitegemei maendelo tena, kwani hayo yalikufa na Magufuli.

Leo hii tunarudi kule kule tulikotoka. Angalia miradi aliyoacha Magufuli na jinsi serikali inavyohangaika jinsi ya kuisimamia hadi kutaka kuiua kwa vile hawana capacity ya ku-handle miradi ya aina hiyo na kupata pasenti yao. Magufuli aliweza kusimamia JKNA hadi ikakamilika ingawa alirithi mradi ule ukiwa na madudu mengi hadi makandarasi kutaka kujitoa. Leo hapa tunaovyosikia na ni lawama tu za tunakotoka, badala ya kuangalia tunakokwenda!
 
Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani zilizobahatika kupata Rais ambaye ni mwanasayansi kitaaluma.

Kwenye sayansi hakuna propaganda wala kelele nyingi ni mwendo wa tafiti na KAZI.
Hivyo wanasayansi kote duniani hulindwa na kazi zao.

Hayati Magufuli kazi zake zitamlinda milele yote kwani Wanasiasa watapita lakini SGR, Tanzanite bridge, Bwawa la Nyerere nk....nk vitabaki kumshuhudia.

Jumaa kareem!
 
Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani zilizobahatika kupata Rais ambaye ni mwanasayansi kitaaluma.

Kwenye sayansi hakuna propaganda wala kelele nyingi ni mwendo wa tafiti na KAZI.
Hivyo wanasayansi kote duniani hulindwa na kazi zao.

Hayati Magufuli kazi zake zitamlinda milele yote kwani Wanasiasa watapita lakini SGR, Tanzanite bridge, Bwawa la Nyerere nk....nk vitabaki kumshuhudia.

Jumaa kareem!

Sayansi za nyungu na chanjo utakuwa ulizikumbuka kweli wewe?
 
Nape aliwafufulia chama miaka ile kidogo ccm ijifie, mkaja kumtupa dustbin hata ningekuwa mm ningewapanikia.

Kinana sema tu hanaga maneno mengi ila mlivyowatenda siyo.
 
Deni LA taifa likikaguliwa kuna MTU atazidi kudhalilika huko alipo!!!
Ccm pambaneni kuokoa hii aibu!!!tr 10+ ndan ya miaka mitano!!??
Ooooo uchumi wa kati !!! Ooo blabla sasa mnaumbuka
 
Ukweli sitegemei maendelo tena, kwani hayo yalikufa na Magufuli.

Leo hii tunarudi kule kule tulikotoka. Angalia miradi aliyoacha Magufuli na jinsi serikali inavyohangaika jinsi ya kuisimamia hadi kutaka kuiua kwa vile hawana capacity ya ku-handle miradi ya aina hiyo na kupata pasenti yao. Magufuli aliweza kusimamia JKNA hadi ikakamilika ingawa alirithi mradi ule ukiwa na madudu mengi hadi makandarasi kutaka kujitoa. Leo hapa tunaovyosikia na ni lawama tu za tunakotoka, badala ya kuangalia tunakokwenda!
Magufuli aliididimiza nchi ila wapumbavu hawakuelewa!!! Tr 10+ in 5 years!??
 
Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani zilizobahatika kupata Rais ambaye ni mwanasayansi kitaaluma.

Kwenye sayansi hakuna propaganda wala kelele nyingi ni mwendo wa tafiti na KAZI.
Hivyo wanasayansi kote duniani hulindwa na kazi zao.

Hayati Magufuli kazi zake zitamlinda milele yote kwani Wanasiasa watapita lakini SGR, Tanzanite bridge, Bwawa la Nyerere nk....nk vitabaki kumshuhudia.

Jumaa kareem!
Amefail !!! Asante mungu 17/3
 
Magufuli aliididimiza nchi ila wapumbavu hawakuelewa!!! Tr 10+ in 5 years!??
Wapumbavu ndio hawakuona maendeleo yaliyofanywa na Magufuli kwani hawakuzowea maendeleo kwa hiyo hawakuyajua.
 
Back
Top Bottom