Tatizo la Nape ni ubinafsi, chuki na sononeko. Kiongozi wa namna hii hatufai hata kidogo

Kuibua hoja ya kutaka kulipekua deni letu la taifa imekuwa nongwa ?
 
Huyu Nape si ndo walitufanya sisi wa CCM tuwe tunaficha mpaka magwanda yetu kukwepa kutukanwa.
Leo anahoji?
Hiyo Hali ya kuficha magwanda ya kijani itajirudia tu,Kwa hawa kina January makamba na Nape,hawana ushawishi Tena kuipigia ccm kura.kwanza ni wanafiki,matapeli,na haeleweki wanasimamia kipi,wanajali matumbo Yao tu,
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom