Tatizo la mwili kupasua kwa watu wazima

MAKOLE

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
618
280
Habari Madaktari/ wataalamu wa afya na kinga.

Wazee wangu wana umri wa utu uzima sasa 65-70s na wote wana shida sana ya kuumwa na miguu. Mzazi wa kiume anashida pia ya magonjwa ya moyo na pia ni mtumiaji wa dawa kali za presha. naomba kujuzwa endapo naweza kupata dawa ama ushauri wa kuweza kuwasaidia. Heshima mbele
 
Wapunguze uzito

Wawe na mizunguko ya hapa na pale, kuzunguka kunaimarisha mifupa.

Wanywe maziwa hata nusu litre kwa siku. Akiamka tu asubuhi mpige glass ya maziwa na kabla hajalala jioni. Maziwa yana calcium ambayo huimarisha mifupa.

Kuhusu matatizo ya moyo onana na daktari, lakini mara nyingi wakipunguza uzito na matatizo ya moyo yanapungua.

Wazee wengi wakishastaafu huwa wanabadilisha utaratibu wa mlo. Breakfast anakula saa tano baada ya hapo saa kumi-12 jioni anakula lunch na dinner.
 
Wapunguze uzito

Wawe na mizunguko ya hapa na pale, kuzunguka kunaimarisha mifupa.

Wanywe maziwa hata nusu litre kwa siku. Akiamka tu asubuhi mpige glass ya maziwa na kabla hajalala jioni. Maziwa yana calcium ambayo huimarisha mifupa.

Kuhusu matatizo ya moyo onana na daktari, lakini mara nyingi wakipunguza uzito na matatizo ya moyo yanapungua.

Wazee wengi wakishastaafu huwa wanabadilisha utaratibu wa mlo. Breakfast anakula saa tano baada ya hapo saa kumi-12 jioni anakula lunch na dinner.
Sahivi wakizunguka zunguka nje si inaweza kuwa hatari kwao.Au hata ndani inafaa?
 
Back
Top Bottom