Mmmmnnnhhhh!!! JF kuna mambo!tafuta mdudu yoyote anayeng'ata sana halafu mwekee huyo mpenzi wako huko kwenye nanilihí..
Dawa ya msichana kuacha kukojoa kitandani Upate Kwato la N'gombe . Mwambie huyo Msichana Apande juu ya Mti kisha umpe hilo kwato la N'gombe alinuse kisha hukohuko juu ya Mti akojoe kisha ashuke afanye hiyo dawa kwa muda wa siku 7 asubuhi na jioni kila siku atapona inshallah
wakuu naomba mnisaidie kujua dawa ya msichana anayekojoa kitandani, maaana wapo wakina dada wengi wanasumbuliwa na tatizo hili, wengine mpaka wanakosa uhuru kwa wapenzi wao wanaogopa kulala kwa wachumba zao, kwa ufupi hili ni tatizo saana,
ningependa kufahamu tatizo linasababishwa na nini? pamoja na tiba yake!
Funga chura kwenye dudu yake, pitisha mtaani huku mkimwimbia KINDUMBWENDUMBE
Wewe unataka Dawa au uganga? Kama anaisihi mjini kariakoo aende shambani au porini. Kwani wewe unayeuliza ndio mwenye hayo matatizo? Tulia tuli kama maji yaliyo mtungini.Jamani jamani kamanda. Sasa kwato na juu yamti kweli kwa siku saba si majirani watampiga mawe kwamba mchawi? Tena anakojoa akiwa juu ya mti? Kama anaishi kweye flats au maeneo kama kariakoo itakuaje
Sio uganga sasa huu?
Swahiba hebu toa tiba mbadala yenye kuwezekana
Asanteni, nakuwa na wasi wasi sana ninaposafiri kikazi hasa nje ya nchi, naset alarm after every 2hrs na nalala na taulo mapajani kupunguza adha, japo inasaidia lakini till when?
Kuna wakati nilimuuliza mtu mmoja japo sikumweleza kama ni mimi akasema inasababishwa na kuwa abused ukiwa mtoto, I dont remember being abuse japo nimetoka katika familia maskin sana
POle sana-unaweza kuji-tune ukashinda hili tatizo-
unaweza fanya hivi:
-Punguza kunywa vinjwaji sana ambavyo si vya lazima(incase unakunywa bia daily)
-Set alarm ili usiku ikuamshe,set hata alarm kwa usiku uamke mara 2 au 3,hata kama utakuwa hujisikii ku-pee,we jaribu kujiforce huo uliopo utoke, naamini ukifanya hivikwa muda,utaweza kutuliza hilo tatzo.
Kuna mtu alikuwa na tatizo kama hili,hadi alipoifikisha miaka 20 ndo akaweza kuji-control-so namini na wewe pia unaweza
Kuna mtu humu anaitwa Mzizi mkavu, hebu m pm umueleze ana jua dawa za tiba mbadala.