Jaman don't do that, for the sake ya mtoto endelea kuvumilia na ongea nae taratibu tu ukimshauri na kumweleza umuhimu wa shule.Asante Jje's huyo rafiki yangu kuna mipishano kidogo tu, kwamba nataka a endelee na shule lakn ananinunia hata siku I napita hajabip nkipiga anaongea kama hataki. Ila nina mtoto nae!! kutopenda shule inanifanya niumie, had mda mwingine nikiongea na watu wengine nakuwa mwepesi sana. Nasema kuwa mwepesi nikiwa na maana naona kama kuna ka mzigo nimetua. Na imefika mda hata simmisi tena
You said it all Mkuu. thanks. I was waiting for her reply with no avail.It was an attempt of showing that she knows not necessarily what your problem is, just knowing...... In a way she needs help as well.
Nadhani ana maana mwaka 2013.yote hayo ukiwa na miaka 13 tu. ukiendekeza sana mapenzi wewe.
Tatizo? Labda.Ni tatizo hili