mbuguni
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 568
- 134
Wakuu habari za saa hizi,
Nina Mtoto Mwenye umri wa miaka 4 ghafla tu amepoteza uwezo wa kutembea alianza kuugua homa then nikampeleka katika kitua cha afya akapewa dawa na kupona lakini baada ya siku tatu alianza kushindwa kusimama na kushindwa kutembea.
Nilimpeleka tena Hosptal kwa vipimo zaidi lakini hawakuona shida baadaye waka imagine kuwa ana ugonjwa ujulikanao kama Guillain barre syndrome.
Naombeni Madaktari hapa mnishauri namna yakufanya maana bado anatumia dawa moja tu iitwayo neuroton tu anameza kimoja kwa siku lakini ni wiki 3 sasa hatembei.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina Mtoto Mwenye umri wa miaka 4 ghafla tu amepoteza uwezo wa kutembea alianza kuugua homa then nikampeleka katika kitua cha afya akapewa dawa na kupona lakini baada ya siku tatu alianza kushindwa kusimama na kushindwa kutembea.
Nilimpeleka tena Hosptal kwa vipimo zaidi lakini hawakuona shida baadaye waka imagine kuwa ana ugonjwa ujulikanao kama Guillain barre syndrome.
Naombeni Madaktari hapa mnishauri namna yakufanya maana bado anatumia dawa moja tu iitwayo neuroton tu anameza kimoja kwa siku lakini ni wiki 3 sasa hatembei.
Sent using Jamii Forums mobile app