Habari zenu,
Nakuja tena nikiamini hapa nitapata msaada kama ninavoendelea kupata kutoka post na majibu yenu. Dhumuni l uzi huu ni hivi, wife ni mjamzito wa miezi 6 unaendea wa 7 lakini mwili unamuwasha licha ya kuwa yeye ni msafi sana na kuoga kwake na mashampuu kibao, anayejua tatizo na msaada kama atakuwa tayari atujuze maana anateseka sana.
Asanteni
Nakuja tena nikiamini hapa nitapata msaada kama ninavoendelea kupata kutoka post na majibu yenu. Dhumuni l uzi huu ni hivi, wife ni mjamzito wa miezi 6 unaendea wa 7 lakini mwili unamuwasha licha ya kuwa yeye ni msafi sana na kuoga kwake na mashampuu kibao, anayejua tatizo na msaada kama atakuwa tayari atujuze maana anateseka sana.
Asanteni