Tatizo la mikopo kwa wenye Leseni za Migodi

Scofield

Member
Mar 10, 2012
14
5
Habari na poleni na majukumu ya kila siku.

Mimi ni mdau wa mda mrefu katika sekta ya madini nchini, nina miliki leseni kadhaa za uchimbaji mdogo yaani Primary Mining License (PML).

Kuna jambo ambalo linanichanganya sana, hadi hivi sasa mmiliki wa hati miliki ya kiwanja/nyumba anaaminika na anakopesheka na mabenki karibia yote nchini

ILA

Mmiliki wa mgodi/migodi yenye geological report inayonyesha kiwango na ubora wa madini yaliyopo pamoja na mkataba/local purchasing order (LPO) ya kuuza kiwandani madini hayo HAAMINIKI na wala hawezi kukopesheka katika benki yoyote ile nchini.

Nimeona hili niliweke hapa ili serikali kupitia wizara husika na wadau wote wa maendeleo mlione.

 
Habari na poleni na majukumu ya kila siku.

Mimi ni mdau wa mda mrefu katika sekta ya madini nchini, nina miliki leseni kadhaa za uchimbaji mdogo yaani Primary Mining License (PML).

Kuna jambo ambalo linanichanganya sana, hadi hivi sasa mmiliki wa hati miliki ya kiwanja/nyumba anaaminika na anakopesheka na mabenki karibia yote nchini

ILA

Mmiliki wa mgodi/migodi yenye geological report inayonyesha kiwango na ubora wa madini yaliyopo pamoja na mkataba/local purchasing order (LPO) ya kuuza kiwandani madini hayo HAAMINIKI na wala hawezi kukopesheka katika benki yoyote ile nchini.

Nimeona hili niliweke hapa ili serikali kupitia wizara husika na wadau wote wa maendeleo mlione.

Bank zinatoa mkopo mkuu ila uwe umeshafanya nao walau miezi sita na oda yako iwe ya kiwanda kinachokubali kusaini makubaliano na bank ya kupitishia hela kwao,so nenda CRDB NMB wanazo huduma hizo.
 
Asante kwa maelekezo na kunifahamisha kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo lingine unaloweza kulifanya ni kutafuta partnership kama huna mtaji,watanzania tuna tatizo la ubinafsi sana na si wwaaminifu hasa kwenye utafutaji wenzetu hawako hivyo wewe ukiwa na mgodi na una LPO unatafuta mwekezaji anaweka hela mnagawana faida maana wewe utakuwa hujaweka pesa yoyote.

Na eneo litabaki kuwa lako na utakuwa umepata faida baada ya kujijengea uwezo hapo sasa utaamua kuchimba mwenyewe,hilo ni wazo jingine linaloweza kukusaidia,Tanzania kuna watu wana hela sana ziko ndani tu hawajui wawekeze wapi na ni waoga mno kupigwa changa la macho so lazima kwanza umuhakikishie uaminifu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom