Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Mdogo wangu na dada yangu walipata hli tatizo, yani mdogo wangu ilikuwa analia usiku kucha, ila walikuja kutumia neurobics zikawasaidia na leo wako sawa ila kipindi cha baridi ni mwendo wa kuvaa soksiNaomba kupewa elimu juu ya kupata ganzi kunakoenda sambamba na kuwaka moto miguuni kuanzia kwenye vidole vya miguu ( Kanyagio la mguu) ambapo Nusu ya kanyagio kuishia vidoleni napata ganzi sana kiasi kwamba hata nikichomwa au kukatwa na kitu sihisi maumivu zaidi ya kuona damu tu ndio naweza kutambua kwamba nimeumia. Sambamba na hilo sehemu hiyo inayopata gazi inakuwa kama naungua moto kabisa. Naomba ushauri juu ya hili tafadhalini