Pro Mwl
Senior Member
- Jul 19, 2014
- 188
- 31
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Dr kanishauri nichome sindano hii imakaaje kwa ushauri wake anasema hii ni bora zaidi sindano moja 10000 na ni kwa siku tano natarajia kuanza leo hii imekaajeNilikuwa na tatizo kama lako. Nenda hosptal kapime uric acid.
Ilianza hivyo hvyo magoti kusuguana mwishowe magot yakaanza kuuma pamoja na misuli nimekula NAT B hadi zimeninukia vby. Nilipopimwa URIC ACID nikakutwa nayo imezidi. Nikaanza kutumia dawa ALLOPRINAL uric acid ikashuka na magoti yakaacha kuuma na kusuguana kwa sasa niko poa kbs. Magoti husumbua endapo uzito mkubwa lkn mim nilikuwa na 69kg nikawa nashangaa kwann kumbe uric acid imezidi kiasi, uric acid iliongezeka kwa kula nyama ya ng'ombe mfululizo.
KAPIME URIC ACID.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wewe shida ikoje haswa ya miguu? Ulivyopiwa urishauliwa nini tupeane mawazo?Kuna Dr kanishauri nichome sindano hii imakaaje kwa ushauri wake anasema hii ni bora zaidi sindano moja 10000 na ni kwa siku tano natarajia kuanza leo hii imekaaje
Nb.kwa sasa napata shida kidogo kuwaamini madaktari wengi wako after money ndio maana nakusanya mawazo ya wadau
Salam kwenu.
Nimekuwa naexperince kitu kigeni miguuni mwangu kuanzia magotini kushuka chini. Yaani kuna muda kama kuna msukumo wa damu yenye joto hivi inashuka chini kisha nasikia ubaridi.
Miguu haiumi hata kidogo ila ni hiyo hali tu hunitokea, na kiukweli sikumbuki Mara ya mwisho nilitibiwa lini maana ukisikia nimeenda Hosp ni kucheki wagonjwa au kumsindikiza mgonjwa. Nipo fit. Ila hali hii inanitia mashaka.
Naomba mnipe ABC kabla sijaenda hospital kwa check up, maana kuna work mate kanambia niache pombe Kali zaweza kuwa ndo chanzo, ni kweli au.
Kumbe wewe mlevi acha pombe haina maana kwako.Meza vidonge vya vitamin B complexSalam kwenu.
Nimekuwa naexperince kitu kigeni miguuni mwangu kuanzia magotini kushuka chini. Yaani kuna muda kama kuna msukumo wa damu yenye joto hivi inashuka chini kisha nasikia ubaridi.
Miguu haiumi hata kidogo ila ni hiyo hali tu hunitokea, na kiukweli sikumbuki Mara ya mwisho nilitibiwa lini maana ukisikia nimeenda Hosp ni kucheki wagonjwa au kumsindikiza mgonjwa. Nipo fit. Ila hali hii inanitia mashaka.
Naomba mnipe ABC kabla sijaenda hospital kwa check up, maana kuna work mate kanambia niache pombe Kali zaweza kuwa ndo chanzo, ni kweli au.
Salam kwenu.
Nimekuwa naexperince kitu kigeni miguuni mwangu kuanzia magotini kushuka chini. Yaani kuna muda kama kuna msukumo wa damu yenye joto hivi inashuka chini kisha nasikia ubaridi.
Miguu haiumi hata kidogo ila ni hiyo hali tu hunitokea, na kiukweli sikumbuki Mara ya mwisho nilitibiwa lini maana ukisikia nimeenda Hosp ni kucheki wagonjwa au kumsindikiza mgonjwa. Nipo fit. Ila hali hii inanitia mashaka.
Naomba mnipe ABC kabla sijaenda hospital kwa check up, maana kuna work mate kanambia niache pombe Kali zaweza kuwa ndo chanzo, ni kweli au.
HapanaKumbe wewe mlevi acha pombe haina maana kwako.Meza vidonge vya vitamin B complex
Asante kwa ushauriInawezekana ikawa high blood pressure pia.. kacheki hii
Kazi yangu siyo ya kukaa mda mrefu. I'm a secondary school teacher. Nasimama class had dakika 80Habari, kapime BMI ili ulinganishwe uzito wako na kimo. Kama haviwiani utashauriwa.
Pia tatizo laweza kuwa ni neuropathy! Hapo lower nerves zaweza kuwa zina shida.
Je, unafanya kazi ya kukaa sana sehemu moja?
If yes, discourage that na uanze kufanya mazoezi kabla matatizo zaidi hayajakutokea.
U may check also Typhoid fever!
Pole
MmhhhUtakuwa na upungufu wa madini. Meza vidonge vya Magnesium. Pia kama utapata maji ya kisima yale ambayo hayashiki sabuni, kunywa hayo kwa wiki mbili tatu...
Nin?Mmhhh
Kama unaleta utani hivi, maji ya kisima tena!!!Nin?
Acha ujinga. Yani mie naweza kukaa hapa kupoteza muda kuleta utani kwenye ishu siriaz? Basi kufa na ugonjwa wako. Sikulazmishi kunywa dawa. Nina uhakika na ninachokiongea.Kama unaleta utani hivi, maji ya kisima tena!!!