Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Habari wana jf naomba kuuliza kuwa la tatizo la kuhisi maumivu ya kuwaka moto kwenye miguu husababishwa na nini?
 
Kwa sasa niko na mwezi hili tatizo lanisumbua. Mguu wa mkono kulia kufa ganzi na kuwaka moto na kuhisi kama kuna miba inachomachoma.

Natumia mafuta ya karafuu na pia nimeambiwa nipunguze ulaji nyama. Nahisi nafuu kiasi, vipi kuna mtu ana tiba nzuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa yake ni Ganoderma lucidam au chai ya majani ya mlonge .Ila Hiyo Ganoderma lucidam Ni Bora zaidi unapona baada ya dakika chache toka utumie.Nijuze upo wapi mkuu
Hiyo Ganoderma nini?
yaani namaanisha ni vidonge au ni nini?
msaada wako mkuu, tafadhali!
 
Kwa sasa niko na mwezi hili tatizo lanisumbua. Mguu wa mkono kulia kufa ganzi na kuwaka moto na kuhisi kama kuna miba inachomachoma. Natumia mafuta ya karafuu na pia nimeambiwa nipunguze ulaji nyama.

Nahisi nafuu kiasi, vipi kuna mtu ana tiba nzuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nilikuwa na hili tatizo hadi nilikuwa siwezi vaa viatu kabisa so nakushauri uende hospital ukaonger na doctor but kama atakuwa anajua atakupa dawa inaitwa NAT B a huge dose mm nilikwenda kairuki nishapona now viatu navaa as usual
Thanks to doctors
 
Mm nilikuwa na hili tatizo hadi nilikuwa siwezi vaa viatu kabisa so nakushauri uende hospital ukaonger na doctor but kama atakuwa anajua atakupa dawa inaitwa NAT B a huge dose mm nilikwenda kairuki nishapona now viatu navaa as usual
Thanks to doctors
Umesema NAT B?
 
Habarini wana Jf
Nami mke wangu ana tatizo la miguu kupata baridi na muda mwingine huwa ina ganzi, na pia akiwa na hasira na kufoka huwa anaishiwa kabisa nguvu,
tumeenda hospital nyingi tukawa tunaambiwa ni upungufu wa vitamin B
na kupewa dawa za vitamin B, ila ikawa bado hali inaendelea.
Nikampeleka Muhimbili moi na kupima mri na majibu yakasema hana shida na tukapewa dawa ambazo ni
Ligaba
Neuroton
Fastum gel na
Melorem. Baada ya kuzitumia hali ndo ikazidi,
ikabidi turudi na akapima EMG, majibu ni yaleyale na kupewa dawa za
Onegaba (vidonge)
Neurorubine (sindano)
ila bado hali si nzuri.
Ana watoto wawili na wote kajifungua kwa Operesheni.
Naomba ushauri wenu tufanyaje jamani?
Embu kwanza mkeo anatakiwa akapime Roundom glucose test(RBG) level kuroll out diabete ama kisukari pia kapime na burcellor test kuroll out burcelosis pia kama miguu inawaka moto kwnye unyayo tunaweza tuka kwere gaut kwa kula nyma ya mbuzi sana pia ukiona tatizo bado usisite kumuona neurologist huenda akawa na tatzo kwny masuala ya neuropathy wakati alipokuwa amefanyiwa oparation kwny fimoral nevers zikawa afected ama cirtic nevers zimepata shida matibabu

1..mpe strong antibiotics yeyote kuroll out anyinfenction
2...neurobin injenction ama neuroton tabs itamsaidia
3..mpe Ibrufein tabs ama pyroscum 500mg kama antipain
4...mfanyie follow up...
 
I have never reviewed a product before but these time I was definitely gave reviewed to orthofeet product which gave me new life.

I used orthofeet shoes from last 4 month which was very comfortable with great looks, I recommended this shoes, everyone.I Loved Orthofeet. It has quality, comfortableness and stylish shoes.

Orthofeet continues make great shoes for feet problem.
 
Back
Top Bottom