lnx
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 387
- 294
Wadau mimi nina tatizo la miguu kuuma chini ya kisigino km nimechomwa na kitu cha ncha kali.
Na hii imatokea wakati wa asubuhi nikiamka au nikikaa sehemu kwa muda,nilienda hospital nikapewa dawa aina ya NUROBIAN nimetumia lakini hali bado naombeni msaada.
Na hii imatokea wakati wa asubuhi nikiamka au nikikaa sehemu kwa muda,nilienda hospital nikapewa dawa aina ya NUROBIAN nimetumia lakini hali bado naombeni msaada.