Norshad hakuna mtu anayejua kwa jina hilo plz may yu provide jina njingine hata high nimesearch hakunaNapatikana wapi Mimi au huo mti? Mimi sipatikani kabisa, Ila mti inapatikana mashuleni uliza MUHENGA yoyote mti wa m biriti atakuwa anaujuwa..
Chukua mizizi, loweka, ichune magamba yake, weka ktk beseni, loweka miguu yako, utaskia maumivu yanavutwa huko yalikokuwa kuja ktk unyayo, vumilia hadi maumivu yaache...kama utajaribu basi tunaomba mrejesho
Hina inapatikana katika miji ya Pwani Dar,Tanga,unguja na Mombasa uliza hiyo miji utaweza kuipata hina wanapakaa wanawake wakati wanapo olewa nyayoni na mikononi ina faida nyingi sana hina kimatibabu.Mkuu hii hina inapatikana wapi na matumizi yake yakoje na ufanisi wake ukoje.
Msesewe mankaHow maelezo na tiba
Ndo nn avogardoMsesewe manka
kitochiNdo nn avogardo
Kitochi gani be seriouskitochi
Mimi nilivimba miguu "Rheumatoid Arthritis"nilipigwa sindano hiyo...inaitwa penadul...ni shida..lazima ushibe kabla ya kudungwa na lazima ulale walau nusu saa ndo uondoke....na mm namshukuru Mungu nipo fresh..Pole sana ndugu... binafsi nilishawahi kupatwa na hili tatizo, nilikuwa na umri wa miaka 21, na nilikuwa bording school advance, ilinipa shida sana maana nilikuwa siwezi kuvaa viatu wala soksi. Na nikikanyaga chini kwa mda bado nahisi moto. Nilipata shida kwa mda ila nakumbuka nilirudi nyumbani nikapelekwa kwa dactari, sikumbuki nilitumia dawa gani lakini ilikuwa ni sindano tano, moja kila baada ya siku 7. Hiyo sindano maumivu yake siwezi yasimulia maana ni hatari. Ukichomwa lazima ulale kitandani kama nususaa kwa maumuvu. Ila namshukuru mungu baada ya hapo nilipona. LAKINI KAMA UNATUMIA PILIPILI ACHA, MAANA NAYO HUWA INAONGEZA TATIZO. Nasema hivyo maana nilipokuwa ninatumia pilipili baada ya mda nahis moto. So nakushauri umwone doctor, pili acha kutumia pilipili nanpia jaribu kupunguza uzito ingawa sijui kama kuna connection
Vp Manka ulipata dawaWapendwa naomba mnisaidie jamani nasumbuliwa na. miguu inauma na kuwaka moto hasa kipindi nikiwa siku zangu sina amani kabisa wakati.mwingine nahisi kama visindano vinanitoboa sehemu tofauti tofauti.msaada plz
we nenda hospitali kajieleze vizuri, hapa wala hatuoni wala kusikia, ni kusoma tu.Kadhalika namimi wakuu msaada wenu hapa tafadhali,,ila mimi nitofauti kidogo,,,kiuno huwa kinanikaza mala kwa mala nakupata maumivu makali hili tatizo husababishwa nanini!!,,,Msaada wenu wajuzi wamambo
pia usisahau kupima Kisukari na UkimwiWapendwa naomba mnisaidie jamani nasumbuliwa na. miguu inauma na kuwaka moto hasa kipindi nikiwa siku zangu sina amani kabisa wakati.mwingine nahisi kama visindano vinanitoboa sehemu tofauti tofauti.msaada plz
Nimepima vyotepia usisahau kupima Kisukari na Ukimwi
Bado ndo nimeagiza mtu aniletee mizizi ya msesewe niliambiwa ni dawaaVp Manka ulipata dawa
Ukpata naomba nisaidie na mm tatzo lang ni kama lako no zang ni 0758780933 naomba nibp au nitext nipate zako ili tuwe tunawasilianaBado ndo nimeagiza mtu aniletee mizizi ya msesewe niliambiwa ni dawaa
Mi niko Arusha na nina tatizo hilo la kuwaka miguu moto na ganzi tutaonanaje?Wakuu wa nchi kama Kuna mtu anasumbuliwa na miguu kuwaka moto please tuwasiliane Ninajua dawa ya kuwasaidia ,
nilikuwa na tatizo la miguu kuwaka moto Kwa miaka 4 kwa kweli nilitumia si dawa za hospitalini na za miti shamba kama debe mbili za unga bila nafuu ,
baadaye nikaja bahatika kupata dawa aina mbili za hospitalini ambazo nilitumia na kupona kabisa
.Hata kuna mwana JF nilimpatia dawa na akaja kutoa ushuhuda hapa JF . User I D ni nyamagala na amepona kabisa .
Kama uko Arusha , Manyara au Moshi tunaweza kukutana Arusha Tanzania, unaweza kuniachia number ya simu Au inbox me please. Have a good night you guys
Hii haipendezi Kwa MTU mwenye tatizo!Ilo la ganzi sina hakika sana... ilo la kuwaka moto em piga namba hii 114 nina uhakika fire watakusaidia kwa haraka