Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Nenda kapime sukari,...Je unatumia pombe sana? pia unaweza ukawa na ukoma....tumea neurobion meanwhile wakati unaenda kupima vipimo
 
Kwanza kinachasababisha maumivu ya miguu inayouma na kuwaka kama moto kwenye nyayo, na nini tiba yake?
 
Kwanza kinachasababisha maumivu ya miguu inayouma na kuwaka kama moto kwenye nyayo, na nini tiba yake?

sababu inawezekana kuwa ni
1)kisukari
2)sumu pamoja na dawa(kama mhusika anatumia dawa)
3)HIV

Usiogope mkuu,kwa uchunguzi zaidi muone neurologist
 
Hizo hapo juu ndo sababu chache za tatizo hili.ni vizuri ukafanya vipimo kwanza.upande wa dawa tafuta neuroton tablets au neurobion
 
Yaani wakati unatafuta tiba hebu acha kwanza kula nyama. ule mboga ya serikali (maharage). pole,onana na daktari
 
Miguu inawajka moto sanasana niktembea mda mrefu, wakati mwingine inatulia, nimefanya vipimo na madawa nimetumia ila sijaona nafuu, naomba ushauri!au nani anayemjua mtu mwenye uwezo wa kutibu anisaidie nateseka sana jamani!
 
I am the God that healeth thee.
Jehova Rafa Mungu aponyaye asema njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha.
 
Mkuu kiswahili hakina misamiati ya kutosha ktk kuelezea ganzi vya.

Hapa nina maana kwamba kuna ganzi ambapo kiungo (mguu) unapotenza sensation kwamba mtu hawezi kuhisi maumivu au mguso wowote.Hii mara nyingi inatokana hitilafu katika mfumo wa fahamu(nerves) unaoratibu kiungo hicho.Hili ni tatizo linalowakabili wagonjwa wa ukoma(sina maana kwamba mzee ana ukoma) kwani kwa maelezo yako hiyo haifanani na ukoma,dont worry.

Pia kuna ganzi ambapo mtu anasikia mguu mzito sana hata kuusogeza anapata shida na linapokaribia kuisha anahisi kama kuna vitu vinachochoma. Hili ganzi mara nyingi hutokea pale ambapo mtu anakuwa amekalia vibaya mguu.

Hili huwa ni la muda tu.Tatizo hapa linakuwa kwamba kwa namna fulani mtu anakuwa amebana aither mshipa wa damu na hivyo kuinterfere blood supply kwenye eneo linalokuwa limepata ganzi; au anakuwa amebana nerver Kutokana na maelezo hayo hapo juu tunaona kwamba sababu za kutokea ganzi zinatofautiana; na kwa kusema hivi nina maana kuwa na matibabu yake yanatofautiana.Ingawa hujasema ni ganzi la namna gani ila niseme tu kuwa kuna Dawa nyingi huwa wanatumia lkn matokeo yake yanatofautiana; kwa maana kwamba wakati mwingine dawa fulani inaweza kumsaidia mgonjwa fulani lkn isimsaidie mwingine.

Lakini pia dawa nyingi sana zina matangazo mengi lakini uwezo wake unakuwa mdogo katika kutibu. Sina hakika mzee ana umri gani na ametumia dawa zipi, lakini nimeona wengi wanasaidiwa na Amitriptyline 1-2 tabs nocte 2-3weeks.

Angalizo, akitumia dawa hii sometimes anaweza kujisikia kijiusingizi kidogo ingawa sio lazima. Watu wamekuwa wakishauriwa kutumia neurobion lkn wengi wao nimeona haijawasaidia sana,so I dont trust it much.
 
Miguu kuwaka moto inatokana na kuwaza sana, au dalili za kisukari na presha. Nenda hospitali kapime kwanza sukari na presha kama utakuwa huna basi ujue ni mawazo.

Punguza kuwaza kwa kutatua matatizo yanayokukabili. Nami nilikuwa na tatizo hilo nilivoenda hospitali nilifanya kama nilivosema hapo juu na sasa hivi nipo ok.
 
Mkuu kiswahili hakina misamiati ya kutosha ktk kuelezea ganzi vya.Hapa nina maana kwamba kuna ganzi ambapo kiungo (mguu) unapotenza sensation kwamba mtu hawezi kuhisi maumivu au mguso wowote.Hii mara nyingi inatokana hitilafu katika mfumo wa fahamu(nerves) unaoratibu kiungo hicho.Hili ni tatizo linalowakabili wagonjwa wa ukoma(sina maana kwamba mzee ana ukoma) kwani kwa maelezo yako hiyo haifanani na ukoma,dont worry. Pia kuna ganzi ambapo mtu anasikia mguu mzito sana hata kuusogeza anapata shida na linapokaribia kuisha anahisi kama kuna vitu vinachochoma.Hili ganzi mara nyingi hutokea pale ambapo mtu anakuwa amekalia vibaya mguu.Hili huwa ni la muda tu.Tatizo hapa linakuwa kwamba kwa namna fulani mtu anakuwa amebana aither mshipa wa damu na hivyo kuinterfere blood supply kwenye eneo linalokuwa limepata ganzi; au anakuwa amebana nerver Kutokana na maelezo hayo hapo juu tunaona kwamba sababu za kutokea ganzi zinatofautiana; na kwa kusema hivi nina maana kuwa na matibabu yake yanatofautiana.Ingawa hujasema ni ganzi la namna gani ila niseme tu kuwa kuna Dawa nyingi huwa wanatumia lkn matokeo yake yanatofautiana; kwa maana kwamba wakati mwingine dawa fulani inaweza kumsaidia mgonjwa fulani lkn isimsaidie mwingine. Lakini pia dawa nyingi sana zina matangazo mengi lakini uwezo wake unakuwa mdogo katika kutibu. Sina hakika mzee ana umri gani na ametumia dawa zipi,lakini nimeona wengi wanasaidiwa na Amitriptyline 1-2 tabs nocte 2-3weeks. Angalizo, akitumia dawa hii sometimes anaweza kujisikia kijiusingizi kidogo ingawa sio lazima. Watu wamekuwa wakishauriwa kutumia neurobion lkn wengi wao nimeona haijawasaidia sana,so I dont trust it much.

Asante sana mkuu kwa ushauri wako. kwa dawa hospitali au clinic ipi ni nzuri kwa uchunguzi or medical consultantion kuhusiana na hili?
 
Kusema kweli clinics za magonjwa ya aina hii kama zipo ni chache sana.Hii ni kwa sababu madaktari bingwa wa magonjwa haya(neurosurgions) ni wachache sana.However, hutakiwi kukata tamaa kwani ukipata physician wa ukweli bado unaweza ukasaidiwa katika hospitali za kawaida.

Kuhusu vipimo,kusema kweli inategemeana na sababu(cause) ya tatizo. Napenda kusema tu kwamba kuna conditions(illness) mbalimbali zinazosababisha miguu kufa ganzi au kuwaka moto, so vipimo hulenga kugundua uwepo wa conditions hizo au la, matibabu hulenga kutibu au kuzuia ugonjwa zaidi ya kutibu tu dalili maana ganzi ni dalili tu ya ugonjwa fulani.

katika mazingira yetu sababu ya miguu kufa ganzi mara nyingi huwa ni kisukari, umri mkubwa(uzee),Drugs (kama vile ARV nk.) na magonjwa mengineyo kama ukoma, HIV/AIDS nk; so vipimo vingi vinalenga huko. Kiukweli vipimo vya mishipa ya fahamu kwa hapa bongo (kama vipo) labda ni katika hopitali za rufaa tu.

Hata hivyo mara nyingi mtu anaweza kujisikia ganzi au miguu kuwaka moto bila sababu yoyote ya dhahiri na kwa kawaida tatizo hili huisha tu lenyewe hata bila matibabu. Lakini pia inawezekana condition fulani yaweza kuwa imesababisha athari kwenye nerves(kama nilivyotangulia kuwema) so hata inapokuwa condition ile imepona bado mtu anaendelelea kujisikia ganzi kwa kuwa tayari mfumo wa faham wa eneo lile(mguu) unakwa na hitilafu. Napendenda ifahamike kuwa nerve ikiathirika au kukatika ni vigumu sana kurudia hali yake ya kawaida.Kwa hiyo ndio maana mtu anaendelea kuwa na tatizo lile kwa muda mrefu.

Ushauri wangu ni kwamba,kwanza wenye matatizo haya kuondoa hofu,kwani mara nyingi hili ni tatizo linaloweza kupona tu hata bila matibabu yoyote ya maana.Lakini hata hivyo ni vizuri mtu akaenda kwenye hospitali kubwa angalau akafanyiwe vipimo vinavyowezekana na apate tiba kulingana na majibu ya vipimo
 
Miguu inawajka moto sanasana niktembea mda mrefu, wakati mwingine inatulia, nimefanya vipimo na madawa nimetumia ila sijaona nafuu, naomba ushauri!au nani anayemjua mtu mwenye uwezo wa kutibu anisaidie nateseka sana jamani!
Jaribu dawa yangu hii huenda ikakusaidia Tafuta Hina ujipake nyayoni mwaka kisha unipe jibu maendeleo yake vipi?
 
Wakuu kuna tatizo nimeliona siku za karibuni la mkono wangu kufa ganzi hasa usiku nikiwa nimelala.

Ganzi inaanzia kwenye bega na mara nyingi ni mkonom wa kushoto. Ikitokea huwa naamka toka usingizini na baada ya muda inapotea. Usiku wa kuamkia leo imetokea na mpaka sasa hivi naona mkono hauko sawa.

Naomba ushauri wa hii kitu tafadhali.
 
Pole sana mkuu , hilo tatizo ni kweli lipo nalinatokea wakati unapolala linaitwa sleep paralysis (SP) stayle ya kulala mfano supine position , kuwa na wasiwasi sana(execess stress),unywaji wa pombe au madawa ya kulevya .

wakati unapokuwa umelala utendaji wa shughuli wa nerve za nnoradrenergic au serotonergic kwenye sehemu ya ubongo inayohusika na usingizi (pons na pia sehem zingine za brainstem structures) zinapungua kufanya kazi au kuzuiwa kwahiyo misuli inapunguza kazi yake(loss of muscle function) na kusababisha mkono au kiwilili cha mwili au miguu kuparalys na pia hali hii huambatana na ndoto inayomfanya mgonjwa kuhisi na kuona kitu kama kimemkaba au kimembeba wengine wanaita jinamizi, (hallusination) .

pia hali hii hutokea kwasababu ya damu kupungua kufika kwenye mkono na kufanya misuli isipate oxygen na kufanya ipunguze kazi yake ,kwa namna nyingine tatizo hili huwa kubwa zaidi kunapotokea damage ya spinal nerve
Augustins_cauchemar_03.JPG


kwa sababu tatizo la SP huwa ni tempo yaani wakati wa kulala au kuamuaka ,ukiamka na kutembea hupotea kama mpaka sasa linaendelea basi inabidii uende hospitalini kwaajili ya uchunguzi kama la kuja na kupotea basi epuka visabishi kama unywaji wa pombe au madawa ya kulevya , badilisha style ya kulala , na punguza wasiwasi
 
Pole sana mkuu , hilo tatizo ni kweli lipo nalinatokea wakati unapolala linaitwa sleep paralysis (SP) View attachment 48274stayle ya kulala mfano supine position , kuwa na wasiwasi sana(execess stress),unywaji wa pombe au madawa ya kulevya . wakati unapokuwa umelala utendaji wa shughuli wa nerve za nnoradrenergic au serotonergic kwenye sehemu ya ubongo inayohusika na usingizi (pons na pia sehem zingine za brainstem structures) zinapungua kufanya kazi au kuzuiwa kwahiyo misuli inapunguza kazi yake(loss of muscle function) na kusababisha mkono au kiwilili cha mwili au miguu kuparalys na pia hali hii huambatana na ndoto inayomfanya mgonjwa kuhisi na kuona kitu kama kimemkaba au kimembeba wengine wanaita jinamizi, (hallusination) . pia hali hii hutokea kwasababu ya damu kupungua kufika kwenye mkono na kufanya misuli isipate oxygen na kufanya ipunguze kazi yake ,kwa namna nyingine tatizo hili huwa kubwa zaidi kunapotokea damage ya spinal nerve

kwa sababu tatizo la SP huwa ni tempo yaani wakati wa kulala au kuamuaka ,ukiamka na kutembea hupotea kama mpaka sasa linaendelea basi inabidii uende hospitalini kwaajili ya uchunguzi kama la kuja na kupotea basi epuka visabishi kama unywaji wa pombe au madawa ya kulevya , badilisha style ya kulala , na punguza wasiwasi


Mkuu nashukuru sana kwa mchango wangu. Ulivyoelezea ni sahihi kabisa na naanza kupata ufumbuzi wa tatizo. Kuhusu kuota ni kweli huwa inatokea kila ninapohisi hili tatizo.

Jana usiku niliruka kutoka kitandani na kukimbilia kwenye mlango!Ngoja nipambane na visababishi! By the way nimeonana na Dr. na akanipa dawa ya kuongeza mg (Magnesium).
 
Helloww jf doctor!nawasabahi!
Well me nina siku ya pili sasa,nahis maumivu kwenye kiungio cha kiuno na kalio,yan nikigusa panauma kama nimepgwa, af miguu inauma kwa ndani from gotini ad nyayo, na zinawaka moto, hadi ukigusa nyayo za moto!

Basi ndo mwili wote unachoka!et tatizo nini?
 
Helloww jf doctor!nawasabahi!
Well me nina siku ya pili sasa,nahis maumivu kwenye kiungio cha kiuno na kalio,yan nikigusa panauma kama nimepgwa,af miguu inauma kwa ndani from gotini ad nyayo,na zinawaka moto,ad ukigusa nyayo za moto! Basi ndo mwili wote unachoka!et tatizo nini?

Kwa haraka tu ni kwamba una ngili ya mgongo (herniated disc). ni ugonjwa unaobana neva za miguuni na kusababisha maumivu makali. nenda haraka hospitalini lka sivyo utaparalyse miguu na hata sehemu za siri hata sphincter za ******.
 
Helloww jf doctor!nawasabahi!
Well me nina siku ya pili sasa,nahis maumivu kwenye kiungio cha kiuno na kalio,yan nikigusa panauma kama nimepgwa,af miguu inauma kwa ndani from gotini ad nyayo,na zinawaka moto,ad ukigusa nyayo za moto! Basi ndo mwili wote unachoka!et tatizo nini?
Pole sana ndugu, unaugonjwa huitwao ngili ya uti wa mgongo (herniated disc), nenda hospitalini kama uko dar MOI haraka sana. unaweza paralyse miguu. wahi si mchezo.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom