dkamgu
Senior Member
- Sep 11, 2017
- 119
- 69
Mhhh mkuu ila hilo nalo neno ngoja nikapime na kisukariDalili za kisukari ni pamoja na miguu kuwaka moto hii inaashiria kuwa nerve zako zimeathirika za upande wa miguu..na sukari ikizidi kwenye damu mate lia huwa mazito na wakati mwingine mdomo kukauka mate.