Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

Kuna sababu nyingi sana za kuwa na tatizo hilo kama ulipata ajali au una kusukari, au huenda overweight yaani au ni nyingi sana.

Hebu kama unavaa nguo za kubana jaribu sana kuvaa za kupwaya kidogo na usibane mkanda sana
 
Ndugu zangu ninaomba ushauri wenu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la miguu kufa ganzi na kuwaka moto kwa muda mrefu pia wakati mwingine huwa napatwa na maumivu makali sehemu ya kifuani nawakati mwingine mate yangu huwa mazito mithili ya makohozi mf wa ute mweupe. Nimepima labda nikajua nina Tb lakini vipimo vikaonesha negative maana yake sina
Itakua kuna dawa unatumia kwa mda mrefu, afu haunywi Maji. Kunywa Maji Lita 3 kwa Siku afu uje ulete mrejesho apa baada ya mwezi.
 
Miaka 33 tatizo ni la miaka 2 maumivu makali kifuani mfano wa MTU aliyekaa karibu na moto. Lakini hayo maumivu huwa yanadumu kwa kipindi tu si wakat wote

Mtoto Mdogo sana kuwa na Matatizo Hayo, nakushauri kamuone Specialist
 
Ndugu zangu ninaomba ushauri wenu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la miguu kufa ganzi na kuwaka moto kwa muda mrefu pia wakati mwingine huwa napatwa na maumivu makali sehemu ya kifuani nawakati mwingine mate yangu huwa mazito mithili ya makohozi mf wa ute mweupe. Nimepima labda nikajua nina Tb lakini vipimo vikaonesha negative maana yake sina
Kapimwe Ulcers [vidonda vya tumbo]

Navyo dalili hufanana ivo ivo
Nikiwa form one ilinikuta hiyo hali miguu kufa ganzi na kuwaka moto pia nilikuwa nikimeza mate nahisi kuna kitu kimenikaba shingoni kumbe nna acid nyingi mno.

Nilibaini hivo bada ya kupima ulcers.
 
Mmmmmmmh

Kumbe tupo wengi wenye haya matatizo. Pia mwenye kunisaidia dawa ya tumbo kuunguruma muda wote hasa kipindi nikiwa nimelala. Tatizo langu ni la muda mrefu toka nasoma kidato cha nne hadi leo nina miaka 33.

Nimejaribu kila aina ya dawa siyo hospital ama kienyeji bado tatizo linaendelea
 
Ndugu zangu ninaomba ushauri wenu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la miguu kufa ganzi na kuwaka moto kwa muda mrefu pia wakati mwingine huwa napatwa na maumivu makali sehemu ya kifuani nawakati mwingine mate yangu huwa mazito mithili ya makohozi mf wa ute mweupe. Nimepima labda nikajua nina Tb lakini vipimo vikaonesha negative maana yake sina

Ningeshauri ukapime afya. Ila kikubwa kabla ya kujiongezea presha fanya yafuatayo.
  1. Kama wewe ni mnywaji wa pombe ACHA!
  2. Kama wewe hufanyi mazoezi anza MARA MOJA!
  3. Tumia vitunguu swaumu, tafuna kwa kiwango kingi kidogo kwa muda wa wiki mbili,
  4. Tumia tiba ya maji kwa muda wa mwezi mmoja kama ifuatavyo;
  • Ukiamka asubuhi kabla ya kupiga mswaki, sali kwanza, then kunywa maji about 660 militers (roughly glass nne)
  • Nenda kapige mswaki
  • Baada ya mswaki usile chochote kwa dkt 45,
  • baada ya dk 45 pata kifungua kinywa,
  • Ndaki ya dk 15 baada ya kifungua kinywa unaweza kuongezea kula chochote, mfano matunda, etc
  • Baada ya kifungua kinywa ukae masaa 2 bila kula wala kunywa chochote
  • Baada ya hayo masaa mawili kula sasa kama ni lunch
  • Hivyo hivyo, ndani ya dk 15 unaweza kuongezea kula chochote au kunywa chochote
  • Baada ya hapo kaa tena masaa mawili
  • Baada ya masaa mawili kula dinner (muda mzuri saa kumi na moja mpaka saa moja)
  • Kama kawaida ndani ya dk 15 unaweza kuongezea kula chochote
  • Baada ya hapo ratiba inaisha ile ya siku, lala na kesho endelea hivyo hivyo kwa muda wa mwezi mmoja.
Fuata taratibu hizo hapo juu na utapona kabisa!
 
Kapimwe Ulcers [vidonda vya tumbo].........
Navyo dalili hufanana ivo ivo
Nikiwa form one ilinikuta hiyo hali miguu kufa ganzi na kuwaka moto pia nilikuwa nikimeza mate nahisi kuna kitu kimenikaba shingoni kumbe nna acid nyingi mno .........
Nilibaini hivo bada ya kupima ulcers.
Ahsante kwa ushauri wako nimekuelewa
 
Ningeshauri ukapime afya. Ila kikubwa kabla ya kujiongezea presha fanya yafuatayo.
  1. Kama wewe ni mnywaji wa pombe ACHA!
  2. Kama wewe hufanyi mazoezi anza MARA MOJA!
  3. Tumia vitunguu swaumu, tafuna kwa kiwango kingi kidogo kwa muda wa wiki mbili,
  4. Tumia tiba ya maji kwa muda wa mwezi mmoja kama ifuatavyo;
  • Ukiamka asubuhi kabla ya kupiga mswaki, sali kwanza, then kunywa maji about 660 militers (roughly glass nne)
  • Nenda kapige mswaki
  • Baada ya mswaki usile chochote kwa dkt 45,
  • baada ya dk 45 pata kifungua kinywa,
  • Ndaki ya dk 15 baada ya kifungua kinywa unaweza kuongezea kula chochote, mfano matunda, etc
  • Baada ya kifungua kinywa ukae masaa 2 bila kula wala kunywa chochote
  • Baada ya hayo masaa mawili kula sasa kama ni lunch
  • Hivyo hivyo, ndani ya dk 15 unaweza kuongezea kula chochote au kunywa chochote
  • Baada ya hapo kaa tena masaa mawili
  • Baada ya masaa mawili kula dinner (muda mzuri saa kumi na moja mpaka saa moja)
  • Kama kawaida ndani ya dk 15 unaweza kuongezea kula chochote
  • Baada ya hapo ratiba inaisha ile ya siku, lala na kesho endelea hivyo hivyo kwa muda wa mwezi mmoja.
Fuata taratibu hizo hapo juu na utapona kabisa!
Nimekuelewa sana mkuu
 
Dalili za kisukari ni pamoja na miguu kuwaka moto hii inaashiria kuwa nerve zako zimeathirika za upande wa miguu..na sukari ikizidi kwenye damu mate lia huwa mazito na wakati mwingine mdomo kukauka mate.
 
Back
Top Bottom