Tatizo la mgao wa umeme limekuwa kero katika maeneo mbalimbali nchini

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Giza linatesa nchi na wafanyabiashara kwa ujumla vibaka wa kuvunja magodown ya wafanyabiashara pamoja na maduka wameongezeka hii ni kwasababu umeme umekuwa wa shida sana nchini !

Waziri wa Nishati amekaa ofisini anaona maisha yanaenda hajui afanye nini kuhusiana na mgao unaoendelea.

Malalamiko ni mengi tunaomba shirika la umeme tanesco liepukane na kero kama hizo ambazo zilikuwa zimeshafutika katika Serikali ya awamu ya tano! Kwanini iwe sasa! Serikali mjue kuwa wananchi ni waelewa jaribuni kubadilika mnahitaji kodi zao huku kodi zao hamfanyi kazi
 
Giza linatesa nchi na wafanyabiashara kwa ujumla vibaka wa kuvunja magodown ya wafanyabiashara pamoja na maduka wameongezeka hii ni kwasababu umeme umekuwa wa shida sana nchini ! waziri wa nishati amekaa ofisini anaona maisha yanaenda hajui afanye nini kuhusiana na mgao unaoendelea. malalamiko ni mengi tunaomba shirika la umeme tanesco liepukane na kero kama hizo ambazo zilikuwa zimeshafutika katika serikali ya awamu ya tano! kwanini iwe sasa! serikali mjue kuwa wananchi ni waelewa jaribuni kubadilika mnahitaji kodi zao huku kodi zao hamfanyi kazi
 
Giza linatesa nchi na wafanyabiashara kwa ujumla vibaka wa kuvunja magodown ya wafanyabiashara pamoja na maduka wameongezeka hii ni kwasababu umeme umekuwa wa shida sana nchini !

Waziri wa Nishati amekaa ofisini anaona maisha yanaenda hajui afanye nini kuhusiana na mgao unaoendelea.

Malalamiko ni mengi tunaomba shirika la umeme tanesco liepukane na kero kama hizo ambazo zilikuwa zimeshafutika katika Serikali ya awamu ya tano! Kwanini iwe sasa! Serikali mjue kuwa wananchi ni waelewa jaribuni kubadilika mnahitaji kodi zao huku kodi zao hamfanyi kazi
 
Giza linatesa nchi na wafanyabiashara kwa ujumla vibaka wa kuvunja magodown ya wafanyabiashara pamoja na maduka wameongezeka hii ni kwasababu umeme umekuwa wa shida sana nchini !

Waziri wa Nishati amekaa ofisini anaona maisha yanaenda hajui afanye nini kuhusiana na mgao unaoendelea.

Malalamiko ni mengi tunaomba shirika la umeme tanesco liepukane na kero kama hizo ambazo zilikuwa zimeshafutika katika Serikali ya awamu ya tano! Kwanini iwe sasa! Serikali mjue kuwa wananchi ni waelewa jaribuni kubadilika mnahitaji kodi zao huku kodi zao hamfanyi kazi
Tatizo la umeme au maji nchini tanzania linatokana na uzembe na ufisadi.

Kwa desturi watanzania wakiajiriwa na umma hawahesabu kama mshahara ndio ujira kwa kufanya kazi ila wanaona ni hela tu wanapata kwa kuandikishwa kazi. Wengi wanaanzisha kujiajiri kwa kufanya miradi binafsi wakati wa kazi na wengi wanaanza kuuza huduma ambayo wameajiriwa kutoa au kula rushwa ili kufanya upendeleo kwenye kutoa uduma.

Suala la kukatikakatika umeme ovyo linakuja pale baadhi ya wafanyakazi wanafikia kiwango cha ufisadi hadi kukata huduma ili kudai rushwa kwa wafanyabiashara au wenye viwanda ili kuwapatia umeme huku wakisingizia sababu mbalimbali za kiufundi.

Ndio sababu utaona wakati wa magufuli rais aliyekataa upuuzi na kuwashikisha adabu wazembe na wala rushwa hali ya umeme na upatikanaji umeme ilikua tulivu.
 
Giza linatesa nchi na wafanyabiashara kwa ujumla vibaka wa kuvunja magodown ya wafanyabiashara pamoja na maduka wameongezeka hii ni kwasababu umeme umekuwa wa shida sana nchini !

Waziri wa Nishati amekaa ofisini anaona maisha yanaenda hajui afanye nini kuhusiana na mgao unaoendelea.

Malalamiko ni mengi tunaomba shirika la umeme tanesco liepukane na kero kama hizo ambazo zilikuwa zimeshafutika katika Serikali ya awamu ya tano! Kwanini iwe sasa! Serikali mjue kuwa wananchi ni waelewa jaribuni kubadilika mnahitaji kodi zao huku kodi zao hamfanyi kazi
Hapa huwezi kuona uzi unatrend,watukanaji wameajiliwa na wanaotuletea huu mgao kwa sasa
 
Bush Electrical Engineer Prince January Makamba and Sole Distributor of TaifaGas from Msoga Kingdom.
 
Katika mikoa inayopata tabu na mgao wa umeme ni Arusha. Umeme umekua bidhaa adimu sana.
Mwanza hali ni mbaya zaidi, hasa kwenye maeneo ya viwanda yaliyoko Nyakato.

Afadhali Mulamula wangalibadilishana wizara na Makamba.
 
Back
Top Bottom