andythelast
Member
- Mar 22, 2014
- 65
- 22
Ni ipi hiyo dawa,iweke hapa isaidie wengi ndugu.Dawa yke ndogo sana
Ni ipi hiyo dawa,iweke hapa isaidie wengi ndugu.Dawa yke ndogo sana
Pole sana miss S bado naendelea kutafuta suluhu pengine ntapata.Nina tatizo kama lako na bado sijapona. Epuka kutumia nguvu wakati unapiga mswaki au epuka kupiga mswaki kwa muda mrefu. Wanagoogle wanasema ukiona umeanza kuhisi ganzi ktk meno ujue kuna layer ya juu kwenye meno umeiondoa, layer ya chini inayobaki ni very sensitive-ndo maana unapata ganzi. Hii sio suluhisho la tatizo, lakin itasaidia kuepuka matatizo zaidi.
Ukipata matibabu nifahamishe inbox.
Ni ipi hiyo dawa,iweke hapa isaidie wengi ndugu.nipigie nkupe formula ya kutengeneza dawa ya kienyeji
Mimi nilikuwa na matatizo ya meno Sana nimen'goa meno manne Kuna doctor akanishauri nitumie sensodyne nihakikishe ni original,nimetumia mwaka wa tatu Sasa nimesahau matatizo ya meno kabisa yani ulikuwa ndiyo ugonjwa wangu mkubwa jaribuHabari zenu wanajamvi,mnamo mwanzoni mwa mwaka jana nilianza kusumbuliwa na meno na hali ya kuwa na ukakasi kama mtu aliyekula ndizi mbichi au limao mdomoni,yaani kuna wakati nakuta kinywa ni kikavu hata nashindwa kuongea vizuri.Tena siwezi kukaa eneo lenye kelele nahisi meno yanakela kama mtu anaposugua kitu chenye kelele mfano wa bati kwenye sakafu.Naomba nisaidiwe ni nini hii jamani?
Nimetoka kwa mganga wa meno wiki iliyopita. Ni kweli, unatakiwa kutumia miswaki soft. Kuna aina tatu hivi za miswaki, soft, medium na hard.Nina tatizo kama lako na bado sijapona. Epuka kutumia nguvu wakati unapiga mswaki au epuka kupiga mswaki kwa muda mrefu. Wanagoogle wanasema ukiona umeanza kuhisi ganzi ktk meno ujue kuna layer ya juu kwenye meno umeiondoa, layer ya chini inayobaki ni very sensitive-ndo maana unapata ganzi. Hii sio suluhisho la tatizo, lakin itasaidia kuepuka matatizo zaidi.
Ukipata matibabu nifahamishe inbox.
Utajuaje ni original!?Mimi nilikuwa na matatizo ya meno Sana nimen'goa meno manne Kuna doctor akanishauri nitumie sensodyne nihakikishe ni original,nimetumia mwaka wa tatu Sasa nimesahau matatizo ya meno kabisa yani ulikuwa ndiyo ugonjwa wangu mkubwa jaribu
asante mkuuKwa kitaalamu hilo tatizo linaitwa hypersensitivity, mara nyingi huwa linatokea hasa pale ambapo ,mmhusika anatumia mswaki ambao kitaalamu hautakiwi kwa matumizi ya meno , yaani mswaki wenye brash ngumu ambao hujilia kuondoa lea ya nje ya jino yaani enameli , na mara nyingi huwa inatokea hasa kwenye shingo ya jino ,pale ambapo ufizi unaanzia , sehemu hii pamoja na lea ya ndani ya jino yaani dentine, inavitundu vidogo dogo sana ( stomata poles) ambavyo huruhusu upenyo wa kitu chochote chenye tindikali ,umaridi ,pamoja na umoto kupenya kiurahisi na kusababisha hali ya ganzi,
Lkn pia hali hii huwatokea watu ambao , wanapolala usiku huwa na tabia ya kutafuna meno na hvy kuondoa ile lea ya juu ya jino (enamel) lakin pamoja na hayo pia huwatokea watu ambao meno yao yanakuwa wiki , hasa kutokana na ukosefu wa madini , calcium, fluoride,
TIBA
Mwone daktari akujuze kama kuna meno yaliyotoboka
Zingatia namna ya upigaji mswaki hasa muda usizidi dakika 15.
Daktari atafanya matibabu yameno yako kulingana na yalivyoathirika.
Mwisho daktari atakuelimisha ni dawa gani inafaa kwa meno yako.