Nimeelewa najadiliana na nani. Ngoja nikanywe supu ya pweza.Mkuu haujasikia mwaka huu mvua ni kidogo?
Bado tu hujaelewa maana ya kuzuia watu kuuza chakula nje?
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Nimeelewa najadiliana na nani. Ngoja nikanywe supu ya pweza.Mkuu haujasikia mwaka huu mvua ni kidogo?
Bado tu hujaelewa maana ya kuzuia watu kuuza chakula nje?
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Kwani bajeti zimeanza kutangaza leo?Kuna shida gani mkuu?
Ngoja nilete budget nzima uisome kwa utulivu
Budget kwani zime-expire mkuu,Kwani bajeti zimeanza kutangaza leo?
😍😍😍 HAKUNA KAMA SAMIANimeelewa najadiliana na nani. Ngoja nikanywe supu ya pweza.
Naam komredi....Kada nimependa sana Royalty yako kwa Taifa, 😍😍😍
Endelea hivyohivyo,
#KAZI IENDELEE KWA KASI NA WELEDI ZAIDI
Najifunza mambo sana toka kwako,Naam komredi....
Shukran kwa "compliment" 🙏
Yanaanzia utotoni mkuu... uzalendo kwa nchi ni jukumu pia la WAZAZI kuwafundisha watoto wao wanapokaa nyumbani kuongea...
Ifikie mahali si tu watoto kufundishwa mashuleni bali WAZAZI waijue thamani halisi ya wao "kuhudumiwa" na UTULIVU na AMANI ya mama Tanzania ambayo ni bora mno na tofauti kuliko mataifa mengi barani afrika.....
Mkuu wangu, SIEMPRE SERIKALI MBILI ZA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA💪😍
#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Karibu sana mkuu wangu🙏Najifunza mambo sana toka kwako,
😍😍😍
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
😍Najifunza mambo sana toka kwako,
😍😍😍
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Hao wa gunia 3,000 sio wakulima ni wafanyabiashara.Kwa nini usiende kufanya survey kwanzaUnaenda NFRA na gunia 500, unaambiwa tunanunua 10 tu, wakati umesafirisha mzigo kwa zaidi ya 300km. Hivi unajua hasara ya hawa wakulima au unapiga ubuyu tuu.
Hajajishughulisha kuliona hilo 🤣🤣Hao wa gunia 3,000 sio wakulima ni wafanyabiashara.Kwa nini usiende kufanya survey kwanza
Tuko pamoja mkuu wangu,Karibu sana mkuu wangu🙏
Tuko pamoja kaka
Tuendelee kuyaeleza mazuri ya CCM ,ya serikali ya awamu ya 6 na taifa letu kwa ujumla👍
#Kazi Iendelee kwa kasi & weledi zaidi 💪
crapIfikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.
Rais Samia Suluhu Hassan kwenye bajeti yake ya maji ya kwanza ametenga jumla ya Tshs 589.4BL kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji safi na salama mjini na vijijini nchi nzima, bajeti hii ni sawa na ongezeko la 284% kutoka Tshs 207.5BL zilizotolewa kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji huo wa maji safi na salama FY2020|21,Bajeti hii ya Rais Samia ni karibu maratatu zaidi ya ile ya mtangulizi wake,
Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke na kwakuwa zaidi 80% ya wanaopata adha ya maji mjini na vijijini ni wanawake hatimaye rais huyu mnyenyekevu ameamua kwa vitendo " Kuwatua Ndoo Vichwani " wanawake wenzake kwa kutenga kiasi hiki kikubwa cha fedha kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji mjini na vijiji,kiasi hiki cha fedha ya maendeleo hakijawahi kutengwa na serikali yeyote tangu uhuru,Heko Rais Samia,
Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijini ni 79.15% huku mjini ikiwa ni 86% na vijijini ni 72.3% huku lengo la Serikali lilikuwa ni kufikia 85% mwaka 2025 na 90% ifikapo mwaka 2035 but kwa kasi hii ya Rais Samia ambapo thamani ya bajeti ya maji ya mwaka mmoja ya Rais Samia ni sawa na thamani ya miaka mitatu ya bajeti ya maji ya Serikali iliyofanya makisio hayo,kwa lugha rahisi kabisa " Mwaka mmoja wa maji wa Rais Samia ni sawa na miaka mitatu ya maji ya mtangulize wake " au 1:3 yaani malengo ya maji ya Miaka 10 kwenye Serikali iliyopita yatatekelezwa kwa miaka 3.3 tu na Rais Samia, Kama kuna mtu wa kuombewa zaidi kwa sasa Tanzania basi ni Rais Samia,
#Nchi yenu iko katika Uelekeo Sahihi zaidi pengine tangu kuasisiwa kwake,
VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1965592
😍Tuko pamoja mkuu wangu,
Rais Samia ni mpango wa Mungu
Anafanya vizuri sana AwesoMama anafanya kazi nzuri ila na huyu Waziri wa maji anapambana sana.
Nakumbuka hata wakati wa Magufuli (mama alikuwa msaidizi wake) asilimia zaidi ya 70 ya miradi ya maji ilifeli kutokana na ufisadi. Ni kati ya wizara ambazo zilimchefua sana Magufuli mpaka akamuondoa Profesa Makame Mnyaa Mbarawa kwenye uwaziri wa wizara husika.Sanaa tuu hizi , mwisho wa siku wakati wa kampeni mtaambiwa sasahivi mtaanza kunywa na kufulia maji ya kilimanjaro ama hill nchi nzima, kuna watu wana mtindio wa ubongo kabisa humu
Unataka kusema nini mkuu?Nakumbuka hata wakati wa Magufuli (mama alikuwa msaidizi wake) asilimia zaidi ya 70 ya miradi ya maji ilifeli kutokana na ufisadi. Ni kati ya wizara ambazo zilimchefua sana Magufuli mpaka akamuondoa Profesa Makame Mnyaa Mbarawa kwenye uwaziri wa wizara husika.
Hivi wewe umemaliza lini masomo yako?Unataka kusema nini mkuu?
Bajeti ya maendeleo ya maji sio budget in total soma vizuri nilichoandikaHivi wewe umemaliza lini masomo yako?
Kuna wakati Mwandosya akiwa waziri wa maji bajeti ilizidi bilioni 700 lakini zilitolewa 30% sasa unashangaa bilioni 500!