LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Kwa takribani wiki tatu kumekuwa na tatizo kubwa la maji kwa maeneo yanayohudumiwa na mtambo wa Ruvu Juu hususan Kibaha, Mbezi Luis, kimara nk.
Cha kushangaza tarehe 12/01/22 Dawasa wametangaza kukosekana kwa huduma kwa masaa 16 kuanzia tarehe tajwa wakati tayari watu hawana maji kwa muda mrefu.
Kwa taarifa tu kwa sasa biashara ya maji kwa magari inayoratibiwa na Dawasa imerudi kwa kasi sana na wanachi tunauźiwa maji 30,000 kwa tenki la lita 2000. Wafanyakazi wasio waaminifu wanaachia maji kwa pressure ya chini ili wenye biashara wasikose maji.
Cha kushangaza tarehe 12/01/22 Dawasa wametangaza kukosekana kwa huduma kwa masaa 16 kuanzia tarehe tajwa wakati tayari watu hawana maji kwa muda mrefu.
Kwa taarifa tu kwa sasa biashara ya maji kwa magari inayoratibiwa na Dawasa imerudi kwa kasi sana na wanachi tunauźiwa maji 30,000 kwa tenki la lita 2000. Wafanyakazi wasio waaminifu wanaachia maji kwa pressure ya chini ili wenye biashara wasikose maji.