road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,062
- 3,011
Miaka 60 ya Uhuru hujui Moshi na Same na mwanga ni tofauti!?? Pole sanaNyinyi si mnasemaga mlishaendelea tokea uhuru! Wachaga acheni sifa zisizo na kichwa wala miguu! Mnalia nini wakati nyie mna rami na mabomba ya maji tokea uhuru!